Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,112
Halafu huko mbeleni labda lulu ndo angemuuwa huyu mama,ili yeye lulu awe mke halali.Maana nasikia mke wa marehemu nae alikuwa anaugua ugua tu.
Kweli wanaume wana wazimu ila wanawake mmetuzidi.
Shangaa huyo dada yako atarudi kwa 'mumewe' na kumsamehe. Na huyo mumewe hataacha. Atafanya siri zaidi........ hapo yupi wazimu?
Mwambie dadaako akirecover alipize kisasi kwa kiasi kikubwa hasa...... amfanyie unyama wa hali ya juu ajutie ujinga wake. Asipokoma, amseki........
Ila ndugu wanabaki na gubu la ajabu coz roho zinawaambia kabisa kapotezwa...... mali ushazikaba zamaaaani....
Imagine 24/7 anasema mke alikua anakusanya kodi zote. Very clever of her.......
Real n ajali tu kma ajali zingine cku hiyo alikua hom wala hukua n plan ya kutoka ajali kokote hata angekua wapi kifo kingempata tu.leo tulikua kwake washkaji kma 30 tumekuja ucku sasa nlikua n mabest wamasai full vituko hawajiamini wakiwa wamevaa suruali full kujiangalia mda wote
Huyo alikuwa kakamatwa na lulu na michepuko mingine balaa,alikuwa sio wa kubadilika leo ndo kwanza alikuwa na 35yrs,sasa mka akafike 60yrs,mama wa watu angekufa kwa stress,hata kama kamtanguliza poa tu,mtu anaekusumbua a some times ni bora kumeliminate tu,cha muhimu hakikisha hakuna ushahidi wowote ili usiishie jela.Vogue parefu,shule anayosoma mdogo wa lulu ni ile most expensive kule mbezi beach,lulu alikuwa anaenda kuwa mke ,b
...
suala la kutengana wala halipo na silioni kwa kweli
na hyo "mme wangu mme wangu" mi sisemi
wanawake sie jamani ndo victims sana kwenye haya mambo
thnx wanawake ndoani wanavumilia sana
kwetu wengi sana tumeolewa ila dah juzi dada angu kazimia for 5hours ndoa ya dec just imagine!!
the problem amekuta picha za uchi za mwanamke ametumiwa mumewe via whatsap
akaona haitoshi karusha zingine wako wote mchepuko na mume dah
presha juu kazimia yuko tmj my dear sister
nimeumia sana kaka,dada angu mwingine ndo mumewe katongozaa shemeji wotee...
na mengine mengi tu..!!!.
wanaume wana wazimu!!
hahahaaaa karibu sana jijini best
ningekua sina kiapo cha baba askofu leo ningekutafuta nami nimrushe roho@Dinazarde@nifah na@Ms lincoln
Hapo ndo huwa sielewi wanawake wetu tz. Wepesi mno 'kusamehe'....... Yani ni hadi yamkute 'yasiyotibika' ndo aanze kuomba hisani za jamii......
BUT she may be smarter coz ana nafasi ya kulipa kisasi heavy. Ajifanye kasahau kabisa jamaa arelax.......... then anafanya yake chap..........
Msikubali kugeuzwa watumwa kwenye ndoa kamwe........ it has to be 50 50 or else........
Kuna baadhi ya wanaume heri usimiliki bastola....
Maana wanaudhi unawezq mrestisha in pisi buuure akakufanya uhamie kwenye jengo la serikali
Cheka tu usiwaze...... na usivumilie upuuzi baadae usije kukuletea balaa!! Akileta za kuleta mpoteze kimya kimya....... zibaki stori na sintofahamu.....
hahahaaa
yani wanawake%kubwa walimu wetu ni vipofu
huo ndo ukweli
tukipenda tunapenda kweli...!!
wachache kweli wanaweza kufanya hvyo
wengi hatuwezi na wanaoweza aisee ni shiiidaahhh
Hii njia sio ngeni kwa majirani zetu wazambia.
Poor souls.... but ndo raha ya dunia. Wote tungekua makatili ingekua msala....
umeona eeehhh
Msafara wa mamba na kenge wamo