Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Wala siwafahamu. Hisia zangu tu kwa niliyoyasoma na kuona pics za huyo mkewe.

Nimehisi, kaamua kumshkisha adabu huyo seki...... kwa aibu anayomletea.

Kwanini usifikiri labda ni utitiri wa vimada vyake wamegang against Lulu ili wakose wote? Maana they have nothing to loose. Huyu mama has the most to loose, baba wa watoto wake. Just thinking....
 
Yalishatokea imebadi story tu huo usaliti wa lulu ndio unaonekana leo cku zote hamkusema

Hivi kweli umeona jeraha la marehemu alivyochinjwa,?? Kioo cha namna gani kinaweza kumkata mtu kwa stail ile?? Kimemkata kuanzia mwanZo wa ubavu hadi kiunoni kwanza kwa kunyooka me bado najiuliza,!!! Hakikukita bali kimechinja, na inaonekana sehemu nyingine nyuzi zinaachia yaani anashonwa nyuzi zinaachichia,. Bado naona hicho kioo ni cha maajabu.
 
Hivi kweli umeona jeraha la marehemu alivyochinjwa,?? Kioo cha namna gani kinaweza kumkata mtu kwa stail ile?? Kimemkata kuanzia mwanZo wa ubavu hadi kiunoni kwanza kwa kunyooka me bado najiuliza,!!! Hakikukita bali kimechinja, na inaonekana sehemu nyingine nyuzi zinaachia yaani anashonwa nyuzi zinaachichia,. Bado naona hicho kioo ni cha maajabu.

Unahisi ni nini mkuu?
 
Hivi kweli umeona jeraha la marehemu alivyochinjwa,?? Kioo cha namna gani kinaweza kumkata mtu kwa stail ile?? Kimemkata kuanzia mwanZo wa ubavu hadi kiunoni kwanza kwa kunyooka me bado najiuliza,!!! Hakikukita bali kimechinja, na inaonekana sehemu nyingine nyuzi zinaachia yaani anashonwa nyuzi zinaachichia,. Bado naona hicho kioo ni cha maajabu.
Weka ppicha mkuu
 
yaani ht we hilo umeliona eehh
na sasa hv huyu mama atakua na amani ya nafsi na atarelax na kunenepa pia
maana mara nyingi mijanaume namna hii ikifa wake zao ndo wanakua huru kimawazo
yaani huyu kijana Mungu amrehemu tu, amebadilishwa na pesa alikuwa mpendwa safi, pesa zilivyoanza kuingia mke anakuja kumtembelea weekend, anamwacha anaenda kupandia dau la kulala na machangu, mke anajirudia zake dar, ikafika wakati akagoma kuja kumtembelea.yaani kamvumilia alifanya umalaya wa wazi sana
.
 
yaani huyu kijana Mungu amrehemu tu, amebadilishwa na pesa alikuwa mpendwa safi, pesa zilivyoanza kuingia mke anakuja kumtembelea weekend, anamwacha anaenda kupandia dau la kulala na machangu, mke anajirudia zake dar, ikafika wakati akagoma kuja kumtembelea.yaani kamvumilia alifanya umalaya wa wazi sana
.

Bora uwe na pesa usimkufuru Mungu kijana alikua bado mdogo sio mkubwa hayo mambo ya uzinzi ni chanzo sasa alimwacha Mungu akafata ya shetani kisa hiki kinafundisha mengi sio ukipata hela unajiachia tu.
 
Acha tu cku ikifika imefika alikua amembeba mtoto wke hiyo meza hajawahi kali so ilipovunjika yeye akaanguka kinyume ila hakumwachia mtoto then akanyanyuka kumbe kipande cha kioo kimemchoma kwenye mshipa mkubwa shingoni.anakaa jirani n uncle wake ndio kumpigia aje ampeleke agakhan hpo bliding ilikua n kasi y ajabu.
Hosp wameshindwa cz sehemu yenyewe hatari ikabidi aombe wamuongezee damu.

Then akaanza kuskia kichwa kinauma cz damu imepungua nyingi sana ndio maiti yakamkuta inatia huruma sana

Mbona hajaumia shingo??? Mwee mjomba anajua siri ya kifo cha marehemu. Amekalia stuli ya kioo, kilivyopasuka kikarukia shingoni au?? Lakini hajaumia shingo.
 
yaani huyu kijana Mungu amrehemu tu, amebadilishwa na pesa alikuwa mpendwa safi, pesa zilivyoanza kuingia mke anakuja kumtembelea weekend, anamwacha anaenda kupandia dau la kulala na machangu, mke anajirudia zake dar, ikafika wakati akagoma kuja kumtembelea.yaani kamvumilia alifanya umalaya wa wazi sana
.

Na ajiendee kwa amani. Yaani inakera aisee. Huyu mama Mungu amsimamie aendeleze chochote alichobaki nacho kwa manufaa ya wanae na yeye binafsi. Yaani hata asilie lie kisa mume kafa. Afadhali kilio chake kimepunguzwa maana ukute alikuwa analia hajui mume boxer kavulia wapi afadhali sasa ana uhakika kuwa yuko na boxer yake kaburini. Disgusting
 
Very sad

Aione tweenty4seven


yaani huyu kijana Mungu amrehemu tu, amebadilishwa na pesa alikuwa mpendwa safi, pesa zilivyoanza kuingia mke anakuja kumtembelea weekend, anamwacha anaenda kupandia dau la kulala na machangu, mke anajirudia zake dar, ikafika wakati akagoma kuja kumtembelea.yaani kamvumilia alifanya umalaya wa wazi sana
.
 
Last edited by a moderator:
Mbona hajaumia shingo??? Mwee mjomba anajua siri ya kifo cha marehemu. Amekalia stuli ya kioo, kilivyopasuka kikarukia shingoni au?? Lakini hajaumia shingo.

Mjombake ndo anajua kilichomtokea Mara wengine mshipa wa shingo.
 
Magazeti y udaku ni uwongo mwingi sana istoshe data zao za kusikia c kuona.wolper,aunt n lulu washkaji zake ndio mmoja alikua n uwoya mwingne kma c kajala n madam.cz kuna wakati walikuja arusha kufanya show uchwara wema,aunt,kajala hapo wa2 waligawana fasta mechi mtu analipa cash

Makongoro alimponza, walikuwa wanawapandia dau.Seki kwa misifa anataka awe juu ya makongoro so anatoa dau kubwa kubwa.
 
Mbona hajaumia shingo??? Mwee mjomba anajua siri ya kifo cha marehemu. Amekalia stuli ya kioo, kilivyopasuka kikarukia shingoni au?? Lakini hajaumia shingo.

Jamani naomba unirushie picha basi hata pm tu.
 
Back
Top Bottom