Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

free mason death hizo

mkuu elezea kidogo
lakini mkuu wanasemaga freemason huyumia wanawake kuuuwa watu wanaowapenda
ila mbona huyo marehemu hakuwa na influence yoyote
why freemanson?
 
Hahahaaa! Ujue hadi natamani nimtafute lakini aibu ndugu yangu!

Naanzaje? Eti "shemeji wewe si umewahi kutoka na lulu? Vipi kule.... kuna nywele?"
Uwiiii,siwezi kabisa.

Swali gumuuu hahhhaa
 
Hahahaaa! Ujue hadi natamani nimtafute lakini aibu ndugu yangu!

Naanzaje? Eti "shemeji wewe si umewahi kutoka na lulu? Vipi kule.... kuna nywele?"
Uwiiii,siwezi kabisa.

Kumbe umbeya huwa na limitation eeh.. :smile-big:
 
Tutaanza kuogopa meza za vioo kwenye nyumba zetu sasa...
alikua mtu wako wa karibu nini

Yani mwezi huu mwishoni ilikua aje ar kuna mgodi alikua anakuja kusimamia una wafadhali toka nje.real marehemu alikua mtu w wa2 kuna wengi wamekua matajiri kupitia kwake hakua n roho y kwanini.
Istoshe alikua anafanya uhuni kisiri sana lulu tu kuanzia wolper,kajala,aunt wote kapita nao lulu kaanza nae mwaka juzi
 
Kuna juhudi kubwa mno zinafanywa na wana bongo movie kuzuia kuenea kwa hii issue hasa kwa sbb inahusiana na mwenzao lkn hapa kwa GT naona wame fail, uzi upo speed ya hatari!
 
Kwakweli sijui tusemee ni laana ya Kanumba au ni kitu gani hadi namuonea huruma.
Huyu naye kazidi usanii.Aliwahi kujidai kaokoka alivyotoka jela sijui yameishia wapi!

Weeee mziki wa kuokoka atauweza yule!!!kuokoka si makalio kusema kila mtu anayo...alikuwa anatafuta kick ya kurudia uraiani...
 
Kuna juhudi kubwa mno zinafanywa na wana bongo movie kuzuia kuenea kwa hii issue hasa kwa sbb inahusiana na mwenzao lkn hapa kwa GT naona wame fail, uzi upo speed ya hatari!

Bongo movie kala wolper,aunt,kajala halafu uwoya alikua anarun na best yake anaitwa mako.hao bongo movie kuna wakati walikua wanakaa arusha wiki utadhani wako location kumbe wanatembeza mpapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…