TANZIA: Mlinda mlango wa Kagera Sugar, David Burhan afariki dunia

TANZIA: Mlinda mlango wa Kagera Sugar, David Burhan afariki dunia

R.I.P, Kaseja ndo kashampiga misumari nini? 'Ni mtazamo tu masera msijenge chuki'
Hata kama ni utani hakuna utani ktk suala la uhai. Huyo Kaseja ndio kawa Israel? Nafasi ya muumba unaiweka wapi?
Kaseja kaanza kuwa kipa wa akiba akiwa na huyo au na timu hiyo tu?
KABLA YA KUANDIKA NA KUPOST CHOCHOTE FIKIRI KWANZA, PIA TAMBUA KUWA HAPA HAUPO NA MASELA WENZAKO.
 
Usijifanye mjuaji saaana, aliyeandika alikuwa anajua,
Daudi na David ni majina yanayofanana sema David ni kizungu wakati Daudi ni kibantu chetu/kiswahili
Mwenye jina alikuwa anaitwa David, wala hakutaka jina lake litafsiriwe. Amelitumia muda wote katika mazingira ya kiswahili na kiingereza, lakini hajawahi kutafsiri
 
Back
Top Bottom