undefinedsana enzi zao hawa na kina seki,dr chen,mambo yalikuwa mambo,RipSana, kuna dada mmoja aliitwa peace sijui yuko wapi, akina tabia. Wakati huo maigizo yakikuwa na mvuto kuliko bongo movie
undefinedsana enzi zao hawa na kina seki,dr chen,mambo yalikuwa mambo,RipSana, kuna dada mmoja aliitwa peace sijui yuko wapi, akina tabia. Wakati huo maigizo yakikuwa na mvuto kuliko bongo movie
asieee kwa Tz hii.... miaka 2001 mpaka 2005/6 alikuwa anaonakana sana kwenye maigizo ITV, alikuwa akiigiza ni mgonjwa unaweza sema ni mgonjwa kweli.R.I.P sikupata kumfahamu
Basi mkuu kumbukumbu zangu zimenitokaasieee kwa Tz hii.... miaka 2001 mpaka 2005/6 alikuwa anaonakana sana kwenye maigizo ITV, alikuwa akiigiza ni mgonjwa unaweza sema ni mgonjwa kweli.
Ilala bungoni makaburi yako wapi? Au umechanganya na mchikichikiniKwa kweli ni huzuni moyoni kumpoteza baba yangu wa hiari mzee Mashaka, huyu mzee alikuwa na roho ya kipekee sana kila mtu alimpenda mazishi yatakuwepo ilala bungoni japokuwa kwake ni ubungo kibo[emoji22][emoji22][emoji22]..inauma sana mzee umefariki ghafla ingali bado wanao tulikuwa bado tunakutegemea
Inaonekana mlikuwa bado hamjanunua TV kwenu.Basi mkuu kumbukumbu zangu zimenitoka