James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Nilikuwa naweka rekodi sawa. Kipinfi mashaka anatoka ktk usanii aliwai kuhojiwa na kuelezea kuwa Kaka yake kipindi mile ni mkuu wa mkoa wa Mtwara kama sikosei alikuwa hamsaidiii kwa chochote haa familia yao kwa ujumla alikuwa haisadii. Kumbuka huyu jmaa alitoka au kung'aa ktk sanaa akiwa mtu mzima kabisaa nafkiri ilitokana na kukosa msaada pia kutoka kwa kaka yake.Mdogo wake. Yeye mwenyewe ni Mzuzuri...
Yaani unamaanisha baba yetu alikuwa na miaka zaidi ya 70 (35x2)? Kwa hili la umri haukumjua vizuri. Birth certificate ya mzee ipo home. Kama hivyo unapajua, ukija ukajitambulisha nitakuonyesha ushangae.Nawajua watoto wake na mashaka wengi tu ila namjua zaidi Abdul,Mashaka alikuwa anaishi kibo karibu na kwa kina msuva,familia yake alikua anaishi na mke wake,mama yake mkwe ambaye ni mzee sana na huyu bibi mwanzo kabisa alifichwa taarifa za msiba za mzee Mashaka kutokana na hali yake ya ugonjwa na nyumba ya mzee mashaka marehemu kuna kigeti kidogo chekundu na ndani nyumba nzima kuna marumaru nyeupe,kuingia nyumbani kwake unaanza vyumba kwanza then sebule ipo mwisho ikiwa pamoja na meza ya kioo na mzee huyu alikuwa mlemavu wa mguu aliparalize ila mungu mkubwa alimponya hili ila alibaki na kilema cha mguu cha maisha...
Hizo ni dondoo tu kuonyesha jinsi gani huyu mtu mimi namjua vizuri sana na hata nkikutajia mimi ni nani na ukienda kutaja tu jina langu kwa Mrs mashaka(bibi Warda) atakuthibitishia kwamba jinsi gani nnavyomjua vizuri,turudi kwenye point hata kma wewe ni mwanae kweli unaongea mbele za watu kwamba mzee mashaka hakuwa mzee dunia si itakushangaa hii maana mimi Nina around 35 na mashaka kanipita mara mbili umri!
Siwezi kusahau igizo la kwanza la biko. Alikuwa anavutia sana ktk uigizaji ukizingatia alikuwa Kijana mdogo kabisaa aliyekuwa anashinda nyumbani...akapita na house girl hahaaaaha
hao wa juzi kuna swebe,jerry, kelvini, biko (iddi ligongo) kibakuli, nyamayao, zawadi, Kemmy, bi hindu, mashaka, kefa, ........
Je aliacha kuigiza?Nakumbuka alikuwa ana kipaji sana ila alipotea sana katika luninga.We bado kijana mdogo huenda
Walahi
Bibi (nyanya), video za Kaole, zi-Google tu utapata.Mwenye baadhi ya video zake aweke hapa
naomba link ya you tubeBibi (nyanya), video za Kaole, zi-Google tu utapata.
Lilirushwa tena last year nadhaniNilipenda igizo lake moja ameigiza ametoka nje ya nchi kurudi akawa ni mtu wa starehe
Walikuwa wanapendezeana sanazawadi alikuwa na mdomo hahahahaha alikuwa anamlaza jamaa nje mara atoke na mabwana hovyo yaani ni fujo wakat mwanzo anatafutwa na mama mashaka alikuwa mstaarabu alipo olewa sasa.
Ila kwangu mm nilikua namuheshimu kama baba yangu kutokana na kunsaidia mambo mengi tu ya kimaisha basi shukrani kaka tupo pamoja mimi ni mmoja ya watu wa karibu wa mzee wetu marehemu alikua anapajua home kwangu na mimi napajua kwake na hata mkewe bibi warda ananijua mungu ailaze roho ya marehemu Mzuzuri mahala pema peponi..Yaani unamaanisha baba yetu alikuwa na miaka zaidi ya 70 (35x2)? Kwa hili la umri haukumjua vizuri. Birth certificate ya mzee ipo home. Kama hivyo unapajua, ukija ukajitambulisha nitakuonyesha ushangae.
Kuna filamu aliact yeye ni mgonjwa ameparalize yupo na sajuki na akawa anahudumiwa na tino aliyeokotwa na mke wake mashaka akamleta home ili asaidie kumlea mashaka ambaye aliparalize sijui inaitwaje hiiMwenye baadhi ya video zake aweke hapa
Nimekuelewa ndugu yangu. Asante kwa upendo wako kwa mzee wetu.Ila kwangu mm nilikua namuheshimu kama baba yangu kutokana na kunsaidia mambo mengi tu ya kimaisha basi shukrani kaka tupo pamoja mimi ni mmoja ya watu wa karibu wa mzee wetu marehemu alikua anapajua home kwangu na mimi napajua kwake na hata mkewe bibi warda ananijua mungu ailaze roho ya marehemu Mzuzuri mahala pema peponi..
Duu basi mkuui nakubali wa juzi.ha
hao wa juzi kuna swebe,jerry, kelvini, biko (iddi ligongo) kibakuli, nyamayao, zawadi, Kemmy, bi hindu, mashaka, kefa, ........