Nawajua watoto wake na mashaka wengi tu ila namjua zaidi Abdul,Mashaka alikuwa anaishi kibo karibu na kwa kina msuva,familia yake alikua anaishi na mke wake,mama yake mkwe ambaye ni mzee sana na huyu bibi mwanzo kabisa alifichwa taarifa za msiba za mzee Mashaka kutokana na hali yake ya ugonjwa na nyumba ya mzee mashaka marehemu kuna kigeti kidogo chekundu na ndani nyumba nzima kuna marumaru nyeupe,kuingia nyumbani kwake unaanza vyumba kwanza then sebule ipo mwisho ikiwa pamoja na meza ya kioo na mzee huyu alikuwa mlemavu wa mguu aliparalize ila mungu mkubwa alimponya hili ila alibaki na kilema cha mguu cha maisha...
Hizo ni dondoo tu kuonyesha jinsi gani huyu mtu mimi namjua vizuri sana na hata nkikutajia mimi ni nani na ukienda kutaja tu jina langu kwa Mrs mashaka(bibi Warda) atakuthibitishia kwamba jinsi gani nnavyomjua vizuri,turudi kwenye point hata kma wewe ni mwanae kweli unaongea mbele za watu kwamba mzee mashaka hakuwa mzee dunia si itakushangaa hii maana mimi Nina around 35 na mashaka kanipita mara mbili umri!