Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Mzee wa Kufa Kufaana.......!!!!Nani huyo anamtaja Stive kwenye huu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa Kufa Kufaana.......!!!!Nani huyo anamtaja Stive kwenye huu uzi
Kijiwe cha Kahawa Masjlis Cafe?Ni mdogo wake Ukiwaona Ditopile Ramadhani Mwinshehe Mzuzuri.
Kwenye kijiwe chetu cha kahawa kipindi flani Ilala Bungoni kuna wakati akatuambia asili yao kabisa Oman. Ubishi ukazuka lakini yakapita maadam barza imepata burdani!
Alikuwa na mdogo wake pia, anakulakula 'poda' ila Mtu wa stori pia kijiweni.
Ila uzuri wa kahawa bana ukiwa na buku unazungusha ofa na kashata juu! Hapa nilipo buku hata maji ya dhahabu hupati.
Cc Pohamba
Wote uliotaja ni marehemSana, kuna dada mmoja aliitwa peace sijui yuko wapi, akina tabia. Wakati huo maigizo yakikuwa na mvuto kuliko bongo movie
Dah! Kweli aisee... nimeikumbuka hii tamthilia ambayo kama si kuitaja wala nisingeikumbuka hata chembe! Kama sikosei huyu Kisa ni yule alikuwa ana-act ulemavu au alikuwa mlemavu... sijui! In real world, huyu Kisa hivi sasa anasikika kwa namna yoyote?RIP mashaka wa kisa.
Hakuwa mlemavu kweli..ni kuigiza tuu..kwakweli sijui yu wapi huyu mlimbwende wa zamaniDah! Kweli aisee... nimeikumbuka hii tamthilia ambayo kama si kuitaja wala nisingeikumbuka hata chembe! Kama sikosei huyu Kisa ni yule alikuwa ana-act ulemavu au alikuwa mlemavu... sijui! In real world, huyu Kisa hivi sasa anasikika kwa namna yoyote?
Kiukweli nimejishangaa
Maana nilijua huyu jamaa alikufa kitambo sana
NtakuzibuaaaaKafa tena.
?Mkuu, leo ndio umepata bando, nini?
May his soul rest peace