We jamaa mjingaaa kweli,Unaweza ukazitaja hizo gangs??? Au unaropoka tu???? Hizo gang zenyewe unazisoma google hata Marekani hujawahi fika foolish
Sent using Jamii Forums mobile app
Namuelewesha cause wanaoishi au waliowahi kuishi Marekani wanajua,nampa elimu tu sio dhihaka,wewe huoni yeye hajamindWe jamaa mjingaaa kweli,
Yani unadhani unachojua ww ndo sahihi,
Unatolea wenzako maneno makali utadhani baada ya kutoka humu kuna mshahara wa kukufanikishia kikombe cha kahawa utapata,
Unashindwaje kuhoji na kujibu bila dhihaka,?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.. ? Kwanini wasingemyanganya hizo dawa ili wapige manoti, na ilikuwa anatoa Documentary sio dawa au documentary ingesema dawa ....?,Si unajua angetoa hiyo documentary angeharibu deal za watu za trillions of dollars wanazofaidika nazo kwa huu ugonjwa wa magumashi aka ukimwi. So ilibidi amalizwe asimalizie project hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelewa maana ya documentary???Duh.. ? Kwanini wasingemyanganya hizo dawa ili wapige manoti, na ilikuwa anatoa Documentary sio dawa au documentary ingesema dawa ....?,
Hizi conspiracy theories bila facts hazina tofauti na hadithi za Sungura na Fisi....
Hakufariki ghafla, aliishi miaka kadhaa baada ya kushinda kesi. Kifo chake kilitokea alipokuwa anakwenda kwao Honduras akiwa na $30,000 cash. Immigration walimfungulia kesi ya money loundering alikaa mahabusu muda mrefu akikosa dawa. Alikataa kutibiwa na dawa za kizungu akitaka dawa za laboratory yake.Si walimuwahi...wakampa.kesi aliposhinda kesi maana mahakama ilimuagiza alete wagonjwa 7 kama ushahidi yeye akaleta 77. Akashinda kesi. Ndo ghafla akafariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie mamaaHakufariki ghafla, aliishi miaka kadhaa baada ya kushinda kesi. Kifo chake kilitokea alipokuwa anakwenda kwao Honduras akiwa na $30,000 cash. Immigration walimfungulia kesi ya money loundering alikaa mahabusu muda mrefu akikosa dawa. Alikataa kutibiwa na dawa za kizungu akitaka dawa za laboratory yake.
Snop dog kila siku anaimba nyimbo za kumtukana Trump na kwenda kuvuta bangi karibu na WH.Kwa nini yeye asipigwe risasi kama issue ni kuikosoa serikali tu unauawa?...Inaonyesha akili yako bado mfu sana.RNB wanakesha kuimba mapenzi,Hip Hop wanaikosoa Serikali,sio kila anayeuawa na bunduki ni gang related violence, nyingine ni serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu unajua zaidi ya lugha za vijiweni za wavuta bangi wenzio.Mnakula bangi magetoni mnapigana pistol wenyewe kwa wenyewe afu uwasingizie CIA?.CIA waache ku deal na Warusi na Wachina huko wanaoitisha USA waka deal na wavuta bangi kama nyie?..Whats a nonsense..Ina evidence hao wagonjwa wamepona??? Au unaropoka baada ya kula maharage kwa mama ntilie??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenyewe Kansa na Ukimwi haziwaui ? au dawa wanazo ? Na wewe hizi nyeti unazipataje na ni kina nani hao ?Huwezi lazima watu wawe aware so lazima utangaze ili watu waamke ndo hapo lazima wakuwahi. Nakwambia ukitibu ukimwi kansa etc jua haumalizi kwaka wanakuua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliekudanganya kuwa hao wazungu hawauani na hawaui watu nani ? Hizo silaha wanazotengeneza ni kwa ajili ya nani au nini ? Huku Afrika kuna viwanda vya silaha?Ajabu kubwa ni blacks wanauana wao kwa wao,wala msiwasingizie CIA,ss waafrika ni hovyo kabisa,hovyoooo
Hata huku huku kwetu,waafrika wangapi wanaumiza wenzao ili kutetea makampuni ya weupe,
Viongozi wangapi wanateka na kuua na kuiba Mali za waafrika wenzao
Sisi ni aibu kwa ubinadamu,
Wanasema binadamu ni mfano wa Mungu sijui sisi ni mfano wa Mungu yupi ambao tunauana na kuua hata walemavu nk
Sent using Jamii Forums mobile app
I second you.Huwezi lazima watu wawe aware so lazima utangaze ili watu waamke ndo hapo lazima wakuwahi. Nakwambia ukitibu ukimwi kansa etc jua haumalizi kwaka wanakuua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo kitobo kweli,ndo shida ya kuzaliwa na mwanamke barmaid,mama ako alipitiliza siku zake kwenye madanguro huko baba ako akasahau kumwaga nje ndo ukazaliwa wewe tahira unakuja kuongea mashudu hapa, jaribu kuficha upumbavu wako basi,mbona unakuwa kama sio shoga wewe???Hakuna kitu unajua zaidi ya lugha za vijiweni za wavuta bangi wenzio.Mnakula bangi magetoni mnapigana pistol wenyewe kwa wenyewe afu uwasingizie CIA?.CIA waache ku deal na Warusi na Wachina huko wanaoitisha USA waka deal na wavuta bangi kama nyie?..Whats a nonsense..
Kuna vitu unalazimisha.tulia kwanza uelewe unachoandika.ulipozungumzia hao wagonjwa wako wawili tuliotangaziwa dunia nzima ndo nilipata mashaka na unachokitetea hapa.kama hujui piga kimya ujifunze vitu.dunia ina mengi.Watu wengi wanasema?.Bila ushahidi,USA kila mtu anamiliki bunduki,Kma una beef na mtu anaweza kukuwasha tu.CIA wamuue kwa sababu tu ya kutangaza tiba ya Ukimwi ya asili?.Juz juzi kuna wagonjwa wa ukimwi walitibiwa wakapona USA,kwa nini wale ma Dr wasiuawe kma issue ni kuzuia dawa ya ukimwi isipatikane?.Maisha ya Blacks USA yana mambo mengi sana.
Duh...alikuwa mbishiHakufariki ghafla, aliishi miaka kadhaa baada ya kushinda kesi. Kifo chake kilitokea alipokuwa anakwenda kwao Honduras akiwa na $30,000 cash. Immigration walimfungulia kesi ya money loundering alikaa mahabusu muda mrefu akikosa dawa. Alikataa kutibiwa na dawa za kizungu akitaka dawa za laboratory yake.
Kama inavyosemekana piaSnop dog kila siku anaimba nyimbo za kumtukana Trump na kwenda kuvuta bangi karibu na WH.Kwa nini yeye asipigwe risasi kama issue ni kuikosoa serikali tu unauawa?...Inaonyesha akili yako bado mfu sana.
Unajua wengi wa watu hawafahamu ndani ya US madaktari wengi wamefilisiwa kwa kufungwa biashara zao na wengine kunyimwa air time. Hata wakiweka video zao YouTube zinafutwa.Kuna vitu unalazimisha.tulia kwanza uelewe unachoandika.ulipozungumzia hao wagonjwa wako wawili tuliotangaziwa dunia nzima ndo nilipata mashaka na unachokitetea hapa.kama hujui piga kimya ujifunze vitu.dunia ina mengi.
Wabongo ni wepesi wa kupokea taarifa ambazo hawana uhakika nazo na kuanza kuzifanyia upembuzi yakinifu na kuzitolea hukumu.