SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Mhhhh kwa jinsi nilivyomuona kwenye msiba wa Mez B! Hali yake ni mbaya jamani! Mungu amsaidie.
R.I.P wii.
Haji Nura ni classmate wangu O level pale Mazengo Sec enzi hizo. Juzi nilikuwa natoka Kahama nikashuka pale Dom kwa bahati nikaonana na met wangu pia O level salaam ya kwanza akaniambia kaka wanachember tunaisha acha tu, Nura mwenyewe yupo hoi sasa hivi ni hatari tupu. Niliona kama masihara kwakuwa jamaa alikuwa kachangamka kwa lager. Sasa nayakuta humu jf.
R.I.P shem.
Nura get well soon.

