Tanzia: Msanii wa Bongo Fleva, Noorah afiwa na mkewe

Tanzia: Msanii wa Bongo Fleva, Noorah afiwa na mkewe

Nokla

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
3,190
Reaction score
1,774
Msanii Noorah amefiwa na mkewe kwa ugonjwa wa kifua kilichombana hadi kuwekewa oxygen.

Wakati huo huo Noorah mwenyewe anaumwa kichwa yupo kwao Shinganya kwa uangalizi maalum.

Rip Shem.
 
Duh kufiwa na mke/mume ni mtihani mkubwa sana,InshaAllah afanyiwe wepesi kipindi hiki kigumu na Mungu amrejeshee afya yake.
RIP shemeji.
 
Pole Haji Norah. Jamaa si alioa juzi juzi tu. Ndoa bado changa. Maisha haya dah
 
Msanii Norah cjui ndo jina lake sahihi lakin afiwa na mkewe kwa ugonjwa wa kifua kilichombana hadi kuwekewa oxygen wakati huohuo Norah mwenyewe anaumwa kichwa yupo kwao shinganya kwa uangalizi maalum.

Rip Shem
mwenyezi mungu amlaze pema peponi.
Hivi vifua na PB na moyo vina maliza sana watu,mwenyezi mungu atunusuru...
 
Kama kawaida ugonjwa wetu wa KIFUA kinatumaliza watu maarufu pamoja na BP
 
Habari hii umeileta kizembezembe.....

Toa details za kutosha.
 
Msanii Norah cjui ndo jina lake sahihi lakin afiwa na mkewe kwa ugonjwa wa kifua kilichombana hadi kuwekewa oxygen wakati huohuo Norah mwenyewe anaumwa kichwa yupo kwao shinganya kwa uangalizi maalum.

Rip Shem

Rest in peace
 
Mhhhh kwa jinsi nilivyomuona kwenye msiba wa Mez B! Hali yake ni mbaya jamani! Mungu amsaidie.
R.I.P wii.
 
Msanii Norah cjui ndo jina lake sahihi lakin afiwa na mkewe kwa ugonjwa wa kifua kilichombana hadi kuwekewa oxygen wakati huohuo Norah mwenyewe anaumwa kichwa yupo kwao shinganya kwa uangalizi maalum.

Rip Shem

alipataga ajali akaumia kichwq na kusahau kila kitu hadi jinsia yake
 
Back
Top Bottom