TANZIA Tanzia: Msanii wa kundi la Jagwa Music, Jack Simela afariki

TANZIA Tanzia: Msanii wa kundi la Jagwa Music, Jack Simela afariki

Duh pumzika kwa amani Dogo Jack Simela almaarufu rafiki wa kweli,hakika hili ni pengo kwa wapenzi mnanda/mchiriku kwa ujumla.
Bado nawaza kwa nini vifo vya hawa wanamuziki wa mchiriku hua vinafanana sana yaani hata ukisikiliza nyimbo zao utagundua ajali na kuuwawa ni sababu kubwa inayochukua maisha yao.
 
Kuna watu wanajiuliza kiswahili kimepandaje chati level ya kimataifa ...hawa wasanii ndio wanaokipaisha.
Ni kweli. Hawa jamaa wameitangaza sana Tanzania hasa Ulaya. Hata hawa wasanii wa kizazi kipya hawawafikii. Hawa jamaa wanapoenda nje music wao wanacheza zile sehemu zenye wazungu wengi tofauti na wasanii wa kizazi kipya ambao hupiga music kwenye kumbi zinazojaa waafrika.
 
Dah!!! Pigo kubwa sana hili, pumzika kwa amani Jack Simela
 
Hawa ndio wale wanaowekaga mikakati ya kufungia nyimbo na wasanii.
Jagwa wameliwakilisha Taifa pengine kuliko hata Diamond ingawa ukweli huwa hausemwi.

Mchiriku ungepromotiwa vizuri ungeweza kuitambulisha TZ vizuri sana kimataifa, ungekuwa ni icon yetu watanzania..

RIP JACK SIMERA pigo kwa jagwa music..
 
Dah aiseh RIP dogo jack simela, hili ni pengo kwa wapenzi wa mchiriku/mnanda.
 
Kuna movie inaitwa chumo mle ndani yake kuna nyimbo inaitwa mwana wa kitwana ni mchiriku yule ambaye anayeuimba ndio huyo ambae amefariki..? Kundi ni jagwa
 
Back
Top Bottom