Jomoni niimbie basiHellena nze lekela awo okunsomasoma
Hellena kale lekela awo okuntunuliza ekisa
Hellena bwotambula nze obela ompimapima
Hellena nze nepima ndanga wa wenkoma
Hellena bwemba nkwagala ye nga nkole ntya?
Hellena oyo akwagala ye ela akugamba atya?
Akalangi ko kansiba emiguwa, kansikasika
Ompitako wenyiganyiga nze onfunyafunya
Akawowo ko kankyunyakyunya (kankyunya baby), kanjuzayuza
Buli wobela nkwetegatega, onkwatibwa ekisa Hellena
Tupo msibaniHilo tak.o kwenye avatar yako huwa linanimalizia sana sabuni.
Rema namakula mchuzi hatari sanaDah nilikuwa naipenda sana sauti yake hata mimi. yeye na juliana kanyomozi,emmanuel nkulila ndio nawakubaligi kwa ug.
Kweli kabisa,
kwenye hiyo where you are - kuna mstari anaingia "rohoni, umenishika kishenzi, natamani tuwe wote right there....."
Dah! RIP.
R.I.p radio nilikuwa napenda sana wimbo wake wa zuwena.
Mm ndio maana huwaga naishiaga kuchonga tu mdomo nikiambiwa mambo ya ngumi natimua mbio sio za nchi hii madhara yake ndio kama hayo sasa..kazi ya mungu haina makosa
Good life ni kundi ambalo linaundwa na Radio n' Weasel.Mmmmm yule ni good lyf ama?
Unaogopa kufa hizo mbio unaweza kuanguka bado ukafa
Kukimbia nilikomanisha mm yahni nikisikia mambo ya ngumi yahni hata kama nilikuwa naongea maneno ya kumuumiza moyo napunguza taratibu au nanyamaza....kinga bora kuliko tiba mkuuUnaogopa kufa hizo mbio unaweza kuanguka bado ukafa
Unamuongelea Weasel ndyo mdogo wa jose..alafu huyo dogo alikuw mdogo wake chamilion
All in all alale mahala pema peponi Amen
huyu jamaa misala yake ilikuwa ya ugomvi tu kupiga wasanii wenzake alishawah kumdunda bebecool na bouncer wke pia alishawahi kumpiga kaka yake chamilion kwa kile alichodai kwamba aliwaskia wakimsema vibaya yeye na mama yake ndipo akabisha hodi na kulianzisha vag
Rest In Peace kijana
Aisee inaumaaa inauma Niko Uganda watuwanaliaa alikuwa mtuwawatu sema hizi pom.....anazionaR.I.P.. Amepatwa na nini huyu mkali wa sauti?
Aligombanaa NA baunsa bar Entebbe akamrusha juu akafikia Modula haposasa internal bldn ikafanya yakeAlipata ajali mwezi uliopita
4FEB KANISA LILISHAPAMBWA PICHA ZAKE KWA AJILI YA MAOMBI LOHAisee alikua na hali mbaya hadi museven alimchangia pesa,wanamuzik wenzie walikusanyika kwa maombi apone haraka. Rest well Moses