TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

Hellena nze lekela awo okunsomasoma

Hellena kale lekela awo okuntunuliza ekisa

Hellena bwotambula nze obela ompimapima

Hellena nze nepima ndanga wa wenkoma

Hellena bwemba nkwagala ye nga nkole ntya?

Hellena oyo akwagala ye ela akugamba atya?

Akalangi ko kansiba emiguwa, kansikasika

Ompitako wenyiganyiga nze onfunyafunya

Akawowo ko kankyunyakyunya (kankyunya baby), kanjuzayuza

Buli wobela nkwetegatega, onkwatibwa ekisa Hellena
Jomoni niimbie basi
 
Kweli kabisa,

kwenye hiyo where you are - kuna mstari anaingia "rohoni, umenishika kishenzi, natamani tuwe wote right there....."

Dah! RIP.

Rohoni unanitesa kishenzi-ii natamani kuwa right there where you are, babyyy umenishika kisheziii. Nakuwaza nakuwazaaa ..Girl I'm looking for you.....

Kati ya nyimbo ninazozipenda mno. Radio alikuwa mkali. Tumzika kwa amani mukwano.

 
R.I.p radio nilikuwa napenda sana wimbo wake wa zuwena.

Mm ndio maana huwaga naishiaga kuchonga tu mdomo nikiambiwa mambo ya ngumi natimua mbio sio za nchi hii madhara yake ndio kama hayo sasa..kazi ya mungu haina makosa

Unaogopa kufa hizo mbio unaweza kuanguka bado ukafa
 
Mimi watu wa hiv(watu wa starehe)wakifa hua susikitikii kufa kwao !

Bali hua nabaki kutafakali kulingana na mandiko nayosoma kwenye vitabu huko wanakokwenda inakuaje ?
 
Unaogopa kufa hizo mbio unaweza kuanguka bado ukafa
Kukimbia nilikomanisha mm yahni nikisikia mambo ya ngumi yahni hata kama nilikuwa naongea maneno ya kumuumiza moyo napunguza taratibu au nanyamaza....kinga bora kuliko tiba mkuu
 
dah radio mwanangu huyo kashakwenda dah!!
 
alafu huyo dogo alikuw mdogo wake chamilion

All in all alale mahala pema peponi Amen

huyu jamaa misala yake ilikuwa ya ugomvi tu kupiga wasanii wenzake alishawah kumdunda bebecool na bouncer wke pia alishawahi kumpiga kaka yake chamilion kwa kile alichodai kwamba aliwaskia wakimsema vibaya yeye na mama yake ndipo akabisha hodi na kulianzisha vag

Rest In Peace kijana
Unamuongelea Weasel ndyo mdogo wa jose..
 
asee..nikuwa,sifahamu..hivi,leo..tuu,nikuwa..naangalia,wimbo..wake..yeye,wessel..na..wizkid-dont..cry.
ase..apumzke..kwa..amani.
 
Aisee alikua na hali mbaya hadi museven alimchangia pesa,wanamuzik wenzie walikusanyika kwa maombi apone haraka. Rest well Moses
4FEB KANISA LILISHAPAMBWA PICHA ZAKE KWA AJILI YA MAOMBI LOH
 
Back
Top Bottom