MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,240
Webbale nyoo nyabbhoHellena nze lekela awo okunsomasoma
Hellena kale lekela awo okuntunuliza ekisa
Hellena bwotambula nze obela ompimapima
Hellena nze nepima ndanga wa wenkoma
Hellena bwemba nkwagala ye nga nkole ntya?
Hellena oyo akwagala ye ela akugamba atya?
Akalangi ko kansiba emiguwa, kansikasika
Ompitako wenyiganyiga nze onfunyafunya
Akawowo ko kankyunyakyunya (kankyunya baby), kanjuzayuza
Buli wobela nkwetegatega, onkwatibwa ekisa Hellena
Wewe acha utani kabisa, kinyonga namba nyingine.Huyu jamaa alikuwa mkali kuliko Chameleon.
Numbisa wanazika lini dia Niko jinja naelekea Kampala...
Unadhani hapo angesaidiwaje lakini kitu cha tit4tat hicho,alipaswa na yeye awe na baunsa akiwa star labda angemthibiti yeye aache mdomo!!Hata ivo waganda hawanaga akili timamu wanaona mtu anapigwa vibaya wao wamekazana na smart phone zao they are hopeless ndo maana yanatawaliwa na Mtu mmoja miaka yote yapo yametulia kama ma kondoo tu stupid
Ndio mkuu.Radio ndo yule mdogo wake na Jose chamilion
AminaDaah maskini nilikua naipenda sana sauti yake, Mungu ampumzishe kwa amani.
Wewe acha utani kabisa, kinyonga namba nyingine.
Umechanganya mkuu mdogo wake na chamaleon ni Weasel.....Ndio mkuu.
Hahahaha siasa zimeingia na huku!!! Anyway alisupport NRM kwenye uchaguzi mkuu baada ya hapo akasusiwa show zake akaomba msamaha mashabiki na akaacha kujiingiza kwenye siasa za chama tawala hivyo amekufa akiwa HAUNGI MKONO CHAMA CHA MAFISADI NRMAlikuwa upande gani kisiasa? Alikuwa anakubaliana na kipengele cha katiba yao kinachopiganiwa kubadilishwa ili kuondoa ukomo wa utawala ama lah?
Mziki ni zaidi ya sauti mkuu kma ingekuwa sauti ndio kila kitu leo hii barnaba angekuwa anamzidi mkwanja diamondRadio ni vocalist usimfananishe na Chameleon anakoroma kama anakabwa.
Hata mie nashangaa wanashabikia tu badala ya kutuliza ugomvi dah so shamefulHata ivo waganda hawanaga akili timamu wanaona mtu anapigwa vibaya wao wamekazana na smart phone zao they are hopeless ndo maana yanatawaliwa na Mtu mmoja miaka yote yapo yametulia kama ma kondoo tu stupid
Idd Amin alikataaga huu ujinga wa kutawaliwa na mtu mmoja. Lakini mlimwita dikteta ninyi haohao. Tuwaeleweje?Hata ivo waganda hawanaga akili timamu wanaona mtu anapigwa vibaya wao wamekazana na smart phone zao they are hopeless ndo maana yanatawaliwa na Mtu mmoja miaka yote yapo yametulia kama ma kondoo tu stupid