TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

Hellena nze lekela awo okunsomasoma

Hellena kale lekela awo okuntunuliza ekisa

Hellena bwotambula nze obela ompimapima

Hellena nze nepima ndanga wa wenkoma

Hellena bwemba nkwagala ye nga nkole ntya?

Hellena oyo akwagala ye ela akugamba atya?

Akalangi ko kansiba emiguwa, kansikasika

Ompitako wenyiganyiga nze onfunyafunya

Akawowo ko kankyunyakyunya (kankyunya baby), kanjuzayuza

Buli wobela nkwetegatega, onkwatibwa ekisa Hellena
Webbale nyoo nyabbho
 
26869813_333736523700927_258605066133438464_n.jpg
 
Hata ivo waganda hawanaga akili timamu wanaona mtu anapigwa vibaya wao wamekazana na smart phone zao they are hopeless ndo maana yanatawaliwa na Mtu mmoja miaka yote yapo yametulia kama ma kondoo tu stupid
Unadhani hapo angesaidiwaje lakini kitu cha tit4tat hicho,alipaswa na yeye awe na baunsa akiwa star labda angemthibiti yeye aache mdomo!!
 
Jamaa alipga show moja pale iringa BA's ile vocal yake"a you ready iringa a you ready"every time nakumisi nakumix nakumix
 
Alikuwa upande gani kisiasa? Alikuwa anakubaliana na kipengele cha katiba yao kinachopiganiwa kubadilishwa ili kuondoa ukomo wa utawala ama lah?
Hahahaha siasa zimeingia na huku!!! Anyway alisupport NRM kwenye uchaguzi mkuu baada ya hapo akasusiwa show zake akaomba msamaha mashabiki na akaacha kujiingiza kwenye siasa za chama tawala hivyo amekufa akiwa HAUNGI MKONO CHAMA CHA MAFISADI NRM

Umetosheka i guess!!! RIP radio
 
Radio ni vocalist usimfananishe na Chameleon anakoroma kama anakabwa.
Mziki ni zaidi ya sauti mkuu kma ingekuwa sauti ndio kila kitu leo hii barnaba angekuwa anamzidi mkwanja diamond

Chameleon anaweza kuwa hana sauti sana kma weasel ila ni mbunifu ndio maana mpaka leo hakuna wa kumvua ufalme wa mziki uganda.... I repeat mpaka leo hakuna watakuja kina kenzo watapita ila chameleon ni legend kule uganda
 
Hata ivo waganda hawanaga akili timamu wanaona mtu anapigwa vibaya wao wamekazana na smart phone zao they are hopeless ndo maana yanatawaliwa na Mtu mmoja miaka yote yapo yametulia kama ma kondoo tu stupid
Hata mie nashangaa wanashabikia tu badala ya kutuliza ugomvi dah so shameful
 
Hata ivo waganda hawanaga akili timamu wanaona mtu anapigwa vibaya wao wamekazana na smart phone zao they are hopeless ndo maana yanatawaliwa na Mtu mmoja miaka yote yapo yametulia kama ma kondoo tu stupid
Idd Amin alikataaga huu ujinga wa kutawaliwa na mtu mmoja. Lakini mlimwita dikteta ninyi haohao. Tuwaeleweje?
 
MKIMWONA DIAMOND NA MABAUNSA MNAHISI AWANAONYESHA SHOW HIZONDIO KAZIZAKWE

M NIGESHAURI MAARUFU WANAMUZIIKI KODISHENI MABAUNSA NDI O SOLN
 
Naamini serikali ya Uganda mmejipanga kwahili..nasoma msgs whatsup jamaa wamejipanga usikuhuu kupita bodaya mtukula ama busia to Nairobi kwa garama zozote..


polisi WA Uganda naamini amko cheap hivyo tunamhitaji huyu muuwaji ama hai ama kichwa chake.....
 
Back
Top Bottom