TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

Alikuwa upande gani kisiasa? Alikuwa anakubaliana na kipengele cha katiba yao kinachopiganiwa kubadilishwa ili kuondoa ukomo wa utawala ama lah?
Sidhani mkuu kwa maana hata jana museven katoa m.30 sasa angekua anampinga sijui kama angetoa
 
2_156.gif


inalilahi wainalilahi rajiun

Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea.
 
Hellena nze lekela awo okunsomasoma

Hellena kale lekela awo okuntunuliza ekisa

Hellena bwotambula nze obela ompimapima

Hellena nze nepima ndanga wa wenkoma

Hellena bwemba nkwagala ye nga nkole ntya?

Hellena oyo akwagala ye ela akugamba atya?

Akalangi ko kansiba emiguwa, kansikasika

Ompitako wenyiganyiga nze onfunyafunya

Akawowo ko kankyunyakyunya (kankyunya baby), kanjuzayuza

Buli wobela nkwetegatega, onkwatibwa ekisa Hellena
Webhale nyooo mukwanooo
 
Sidhani mkuu kwa maana hata jana museven katoa m.30 sasa angekua anampinga sijui kama angetoa
HAKUNA SIASA NI KIJANA ALIKUWA KIKAZI ZAIDI UNAHELA WAKATI WA KAMPENI ANAKUJA KWAKO EASY
 
Leo atala LA kwake kama postmortem itamalizika mapema kesho watamwagaa public awajataja uwanja hope atazikwa kesho AMA kutwa

Rip mpwaaa
 
UJANIZIDI MM KULA HII BURE

R.I.P
MOWZEY RADIO GARUYANGU IMEJAA NYIMBO ZAKE ALWAYS ANA SAUTI KAMA KINANDA
Pdiddy hiyo video imezidi nihuzunisha , maisha haya
 
Millard ayo anasema ajali, clouds fm na Jf wanasema ugomvi, jaman tz sources zina kanganya.
Ni ugomvi ambao ulikuwa hivi...
Alikwenda site anakojenga. Alipotoka akapita club kupiga vyombo.
Vyombo vilipokolea akaanza mtukana mwenye club kuwa kafulia hana hata ela ya kumnunulia red label john walker.
Jamaa akaona isiwe tabu akamwambia waiter ampe radio red label chupa moja.
Radio alipopewa badala anywe akaifungua na kuanza kuzunguka kila meza mle club anamwaga.
Jamaa akamaind na kuamuru baunsa wamtoe ndipo ukazuga ugomvi walipomtoa nje katika ugomvi akaumia kichwa damu ikamwagika kwenye ubongo.
Alifanyiw operation akawa ameanza kuonyesha matumaini lakini bahati mbaya Uganda kuna jamaa anajiita Brian white ni pedeshee ambae kawanyazisha akina jack pemba huko.
Yani ni kijana ni ana pesa kufuru akina jack pemba walitaka shindana naye wame surrender.
Kwakuwa radio alikuwa ICU walikuwa hawaruhusu watu kuingia asije pata infection.
Sasa huyo Brian White akaenda pale hospital jumatatu hii na wapambe wengi waandishi wa habari na chameleon.
Kufika akatoa ela za uganda milion 25 na akasema yeye atasimamia bill zote hata kama jamaa ikihitajika apelekwe nje.
Hadi ma doctor na manesi akawatia pesa maana jamaa ni money weather wa uganda.
Kwa sifa na wakashindwa kumzuia akaingia ICU na wapambe.
Sasa jana ndo ikasemekana hali ya radio imekuwa mbaya kwakuwa kapata infection kwenye kidonda alichofanyiwa operation na wakadai haruhusiwi mtu yoyote kumuona kwakuwa wanahisi infection aliipata suku brian white alipomtembelea.
Na jana rais museveni alitoa uganda shilings milion 30 na leo ilikuwa redio apelekwe south africa kwa matibabu zaidi.
Rip radio
 
Hujakosea mkuu akiwa na mdogo ake chamillion.Where you are alioshirikishwa na wale wadada wa blue 3 sijui pia aliutendea haki
SWEETER DAN KUKU..MR ABILITY. KUNA NGOMA WALIFNYA NA WIZKID NIMEISAHAU JINA..daahh Jamaa alikuwa anajua mnoo sauti yke ilikuwa kavu kavu Hivi kama ya Wycliffe ama bob
 
Unaweza jiona mjanja kumbe mshamba,boya la maana. Siasa zenu za kumtakasa mtu anayeshabikia upinzan au anayeitukana serikali haziwasaidii katika safari ya milele.
Watu humu mitandaoni wengi wao wamegeuza kila kitu Siasa.....inakera kwa kiwango kikubwa sana,Yaani hata ule utambuzi wa kwamba Dunia ina maisha mengine watu ni siasa tu.....na wengi wanaishia kupiga domo bila mafanikio...ISSUE YA Msiba anaulizia mambo ya siasa
 
Back
Top Bottom