TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

Ni ugomvi ambao ulikuwa hivi...
Alikwenda site anakojenga. Alipotoka akapita club kupiga vyombo.
Vyombo vilipokolea akaanza mtukana mwenye club kuwa kafulia hana hata ela ya kumnunulia red label john walker.
Jamaa akaona isiwe tabu akamwambia waiter ampe radio red label chupa moja.
Radio alipopewa badala anywe akaifungua na kuanza kuzunguka kila meza mle club anamwaga.
Jamaa akamaind na kuamuru baunsa wamtoe ndipo ukazuga ugomvi walipomtoa nje katika ugomvi akaumia kichwa damu ikamwagika kwenye ubongo.
Alifanyiw operation akawa ameanza kuonyesha matumaini lakini bahati mbaya Uganda kuna jamaa anajiita Brian white ni pedeshee ambae kawanyazisha akina jack pemba huko.
Yani ni kijana ni ana pesa kufuru akina jack pemba walitaka shindana naye wame surrender.
Kwakuwa radio alikuwa ICU walikuwa hawaruhusu watu kuingia asije pata infection.
Sasa huyo Brian White akaenda pale hospital jumatatu hii na wapambe wengi waandishi wa habari na chameleon.
Kufika akatoa ela za uganda milion 25 na akasema yeye atasimamia bill zote hata kama jamaa ikihitajika apelekwe nje.
Hadi ma doctor na manesi akawatia pesa maana jamaa ni money weather wa uganda.
Kwa sifa na wakashindwa kumzuia akaingia ICU na wapambe.
Sasa jana ndo ikasemekana hali ya radio imekuwa mbaya kwakuwa kapata infection kwenye kidonda alichofanyiwa operation na wakadai haruhusiwi mtu yoyote kumuona kwakuwa wanahisi infection aliipata suku brian white alipomtembelea.
Na jana rais museveni alitoa uganda shilings milion 30 na leo ilikuwa redio apelekwe south africa kwa matibabu zaidi.
Rip radio
daaahh so sad aiseeee ...Jamani kama mungu yupo kweli tuanze kufuata aliyotuagiza..maana tunapoelekea huku nihatari
 
Huyu jamaa tukiwa Mzumbe chuo pale mkwawa room No. 221 na rafki yangu tunaskiza ile bread and butter tukawa mashabiki Sana wa hili kundi mpka leo. Inasikitisha sana, nimeshinda naskiza nyimbo zao home na kwenye gari...RIP...kifo aisee ni noma. Pole Chinavach shabiki wa nguvu pole na Weasel. Kila nyimbo ya hawa jamaa nliiipenda na ninayo daah
 
Issue ilikuwa nini mpaka adundane na mlinzi????maana hawa wasanii akili zao bangi sana
 
Ndo huyu alikuwa na mwezake radio&weasel wakaimba nyimbo ya mr.ability
 
Radio na Weasal ni watu wawili tofauti,naona humu wengi tunachanganya...Radio alikuwa rafiki wa kiti cha kwanza wa Mdogo wake Joseph Mayanja ( Jose Chamilion) na walifanya kazi sana kwenye band ya Jose Chamilion baadae ndyo wakajitenga na kuanza kufanya muziki kivyao,hata hivyo bado Jose Chamilion alikuwa akiwatumia kwenye shows zake hasa za ndani ya Uganda

Binafsi pia nimekumbuka mbali sana enzi hizo nikiwa na Mshikaji wangu mmoja mweusi tiiiiiiiii! Kama kia2 cha jeshi halafu amepanda hewani,sasa mshikaji alikuwa akiniona anaanza kunitafsiria nyimbo za Kiganda kama vile Befula ya Chamilion na Bread n' butter ya Radio na Weasal
Pia,alikuwa akinitajia wasanii wengi wa Uganda kama vile Bebe cool,Michael Rose,Chamilion n.k.ndyo ktk kpnd hicho nilipoanza kuzpenda nyimbo za Waganda na hata beats zao huwa ziki tight sana,sikiliza nyimbo kama Ugwe wange wa Juliana Kanyomozi,Ujuwe wa David Lutalo, Margarita (jina la mwimbaji limenitoka)
 
Ndo huyu alikuwa na mwezake radio&weasel wakaimba nyimbo ya mr.ability
Acha ufala wewe

Soma kwanza posts ulizozikuta sio unakurupuka tu kama umebanwa na uharo.

Ndio huyo huyo akiitwa Moses Sekibooga aka Radio
 
MWANAMZIKI maarufu kwa jina la Mose -Radio wa nchini Uganda amefariki Leo 01/02/018
Msani Huyu ambae alikuwa kushirikiana na ndugu yake Jose chamilione maarufu km Wisel, ameaga dunia
Hakika tutamkumbuka.
 
Yani nimeumia mpaka..Leo siku nzima nyimbo zake zinajirudia kichwani!Nilikua namkubali sana na sauti yake.Mungu ampumzishe mahali pema Radio.
 
MWANAMZIKI maarufu kwa jina la Mose -Radio wa nchini Uganda amefariki Leo 01/02/018
Msani Huyu ambae alikuwa kushirikiana na ndugu yake Jose chamilione maarufu km Wisel, ameaga dunia
Hakika tutamkumbuka.
radio-weasel-plenty-plenty.png
 
Am sorry for the next video..halihalisi ndivyo mowzey alivyouwawa
 
So sad inauma kuangaliaaaaa mtanisamehee waganda wengine wamegeuka nyokookabisa siamini huyu mbwa baunsa hapatikani....

R..I.P MOWZEY RADIO..
33 YRS TOO EARLY
 
Back
Top Bottom