TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

What are you smoking!?!?
Umeelewa nilicho maanisha hapo au umekurupuka kunijibu!
Huyo artist kajitakia kifo mwenyewe na video inaonyesha yeye ndio alie mprovoke huyo mlinzi.
Jamaa alikua intoxicated badala ya kutulia akataka kujifanya mwamba watu wakamvunja shingo.
Sasa kama hukuelewa nilimaanisha kwa waliobaki hili tukio liwe kama elimu kwao...
Wafanye starehe, walewe wakimaliza wasianzishe ugomvi otherwise tutaishia kuzika wengi.
Inahuzunisha kapoteza maisha but kiuhalisia alikikaribisha kifo.
Kifo cha kujitakia ni Suicide mission tu...acha siasa!!...Kama binadamu kutofautiana ni kawaida na unaongea kuwa amejitakia vip?kwa hiyo alijua kwa ugomvia huo atapata alichojitakia(kifo)....!!shits harpenz evrwhre dude.....!
 
Kifo cha kujitakia ni Suicide mission tu...acha siasa!!...Kama binadamu kutofautiana ni kawaida na unaongea kuwa amejitakia vip?kwa hiyo alijua kwa ugomvia huo atapata alichojitakia(kifo)....!!shits harpenz evrwhre dude.....!
Hakustahil kupigwa hivyo
 
Alafu kapigwa na baunsa watu wanamlalamikia baunsa bila kujua tatizo kaanzisha yeye, tunalaumu matokeo bila kuangalia chanzo. Yeye kama msanii mkubwa alitakiwa awe mfano ktk kusolve mambo kistaarabu. Alale mahali panapostahili
Wewe nawe ni mgeni wa Club na sehemu kama hizo, hayo maeneo watu hawanywi chai ni divai zilizochachushwa tu. Hao mabaunsa wapo hapo ili kuhakikisha ile mivinyo haileti madhara na madhira kwa aliyeutumia na jirani zake. Wapo kwa minajili ya wateja wao.
 
Hata ivo waganda hawanaga akili timamu wanaona mtu anapigwa vibaya wao wamekazana na smart phone zao they are hopeless ndo maana yanatawaliwa na Mtu mmoja miaka yote yapo yametulia kama ma kondoo tu stupid
Ref.. scorpion mtoboa macho mlienda okoa...??
 
Wewe nawe ni mgeni wa Club na sehemu kama hizo, hayo maeneo watu hawanywi chai ni divai zilizochachushwa tu. Hao mabaunsa wapo hapo ili kuhakikisha ile mivinyo haileti madhara na madhira kwa aliyeutumia na jirani zake. Wapo kwa minajili ya wateja wao.
Wangapi wanaenda club wanakunywa wanalewa na wanaondoka kimya kimya? Ulisikia kuwa ashawahi kumletea vurugu Bebecool? Kutupa laptop ya dj club? Ina maana hiyo club anaingia mwenyewe mbona wengine wanakunywa na hawaleti hayo anayoleta?
 
Mziki ni zaidi ya sauti mkuu kma ingekuwa sauti ndio kila kitu leo hii barnaba angekuwa anamzidi mkwanja diamond

Chameleon anaweza kuwa hana sauti sana kma weasel ila ni mbunifu ndio maana mpaka leo hakuna wa kumvua ufalme wa mziki uganda.... I repeat mpaka leo hakuna watakuja kina kenzo watapita ila chameleon ni legend kule uganda



I feel you, lakini point yangu itabaki palepale Radio ni vocalist mkali kuliko Chameleon. Pesa zao na reputation mi havinihusu.

Ukija kwa Barnaba na Diamond mi sikubaliani na wewe. Wakati Barnaba yuko busy kubana pua, Diamond anaweza kuimba in different styles and voices. Wakati tungo za Barnaba ni za kuungaunga na hata hits 10 hana, Diamond kila siku anatoa wimbo na mashairi yako sawa .
 
Kuna ile ngoma inaitwa Pollination feat.Obsession naikubali adi kesho
R.I.P Bro!
 
there will be a vigil today at his Neverland home in Makindye and the requiem service will be held tomorrow at a yet to be known church.

Moze Radio's body will be at National Theatre on Friday and on Saturday, the talented singer will be laid to rest at Kagga in Nakawuka where he was constructing a home for his mom.


NIIVYONAJANA MASOJA WANAFANYA USAFI HIO YUMBA HUKU BIBIYAKE NA MJOMBA WAKILIA SANA NKAJUA MPWA LAZIMA ANALALA HII KIWANJA..Sad oooO rip
 
IMG-20180202-WA0081.jpeg
IMG-20180202-WA0071.jpeg
IMG-20180202-WA0075.jpeg
IMG-20180202-WA0067.jpeg
IMG-20180202-WA0069.jpeg
IMG-20180202-WA0063.jpeg
IMG-20180202-WA0065.jpeg
 
Hii video ni ya kweli kama umekaa Uganda utajua masharo wa Uganda wanavo tamka maneno ya kiingereza
 
Kutokana na habari kwamba alipasuka fuvu(angalia anavyobamizea kwenye hicho kitu kama meza) na kuvunjika shingo(alivyotupwa chini) nadhani ni hiyo.
Kachanganyikiwa NA kile kingereza mkuu...hapo ndipo nawaasa lipeni hata temp pass mkatembee eac jamani unaweza kuadvance kaenglish chako kidogoo....

Ov
 
Back
Top Bottom