Tanzia: Msanii wa vichekesho, "KIinyambe" afariki dunia huko Mbeya

Tanzia: Msanii wa vichekesho, "KIinyambe" afariki dunia huko Mbeya

Update:---

Mmoja wa wanandugu wa Mohammed Abdallah "Kinyambe" amethibitisha kuwa msanii huyo wa filamu ambaye pia alikuwa akijulikana kwa jina la James, amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa huko nyumbani kwao mbeya.
 
IMG-20151214-WA0002.jpg
Rest in peace
 
Back
Top Bottom