TANZIA: Mtangazaji wa E-Fm na Tv-E Dennis Rupia ‘Chogo’ amefariki dunia

TANZIA: Mtangazaji wa E-Fm na Tv-E Dennis Rupia ‘Chogo’ amefariki dunia

Jambazi

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
16,648
Reaction score
18,742
denis_chogo.jpg


Taarifa zilizotufikia usiku wa kuamkia leo zinaeleza kuwa Mtangazaji aitwaye Denis Rupia maarufu kama Chogo amefariki dunia.

Taarifa hizi zimetolewa na Meneja Mkuu wa EFM, Denis Ssebo jukwaani usiku wa kuamkia leo wakati wa Tamasha la Muziki Mnene lililokuwa linafanyika Mubashara kutoka jijini Dar es Salaam.

Baada ya taarifa hiyo, ilipelekea matangazo hayo ya moja kwa moja kukatishwa.
 
Aisee Mungu anavuna shambani kwake kwa kasi!....Poleni wanafamilia
 
Tuta mkumbuka kwa ucheshi wake haswa kwenye fimboo kipindi cha joto la asubuhi (8:50 hadi 9:00 asubuhi),tuta miss vituko vyake na akina manganjaa..makamee,jingo ya uhondoo na saka saka pia Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani mjomba Chogo
 
Mwenye jingo au sauti ya kipindi alichokuwa anafanya atuwekee.
 
Back
Top Bottom