Ohoooo!!mkuu unahuakika maelezo yako yana ukweli haijakaa poa kuchafua watu.Hivi majizo huwa ni msukuma? Mbona anatoa ndagu sana huyu jamaa alianza na bikira sasa ni denis nan anafata?
Hizo fikra sio mkuu...kifo ni mipango ya Mungu kutonesha ukuu wake sisi wanadamuHivi majizo huwa ni msukuma? Mbona anatoa ndagu sana huyu jamaa alianza na bikira sasa ni denis nan anafata?
Mkuu tune e fm 93.7 uko dsm....wana rudia baadhi ya kazi za MarehemuMwenye jingo au sauti ya kipindi alichokuwa anafanya atuwekee.
[emoji106]Hizo fikra sio mkuu...kifo ni mipango ya Mungu kutonesha ukuu wake sisi wanadamu