Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,675
Hivi Milly alisema nini kwani?
Milly ndio nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Milly alisema nini kwani?
Make up hizo,mtoto wangu kamwe hapakwi makemikali hayoDah sichoki kuangalia pic za huyu mtoto, mzuri utafikiri alishushwa kutoka mbinguni?
Samahani wakuu naweza pata taarifa fupi juu ya huyo dogo, alikuwa kama nani?? maana kila mtu yuko analalamika kuhusu kifo cha huyo dogo..
Mimi nimekiona amehojiwa baba wa mtoto global publisherMkuu una cheti cha kuzaliwa mtoto?
Maneno ya maana sana haya,saikolojia ya kiwango cha juu mno.Hata kama tunawapenda watoto wetu, si sawa kuwarusha na kuwatanzana namna hiyo katika uwanja "wa wakubwa kama huko Instagram"
Mtoto alilazimishwa kuvaa, kuimba, kuongea, na kuonekana kama mtu mzima!
Je alipata nafasi ipi ya yeye kucheza na watoto wenzake?
Je alipata wapi nafasi ya kuwaza kama watoto wenzake na kuiishi dunia ya utoto wake?
Angekuwa mtu mzima, angesimulia yapi mazuri ya utito wake kama kucheza kombolela na kupigana na wenzake katika michezo?
Mtoto anavalishwa kama mdoli, gangastar, mtanashati, bitozi, micheni, miwani na takataka zoote kama mtu mzima!...je MACHO ya watu wabaya yalikua namna gani kwa malaika huyu "aliyelazimishwa" kuishi kama mtu mzima?
MUNA alikosea sana.
Ndio ila hata bila makeup katoto kazuri jamani.Make up hizo,mtoto wangu kamwe hapakwi makemikali hayo
Hahaa!!! Njoo uzae na Mimi nikupe katoto kazuriNdio ila hata bila makeup katoto kazuri jamani.
Mkuu hapo kubet mikeka uwaombe radhi watu hapa JF,hiyo ni ajira rasmi ya kinababa wengi wa daslam.Usikariri man. Unaweza ukakuta Mungu kamuepusha na mengi ya dunia. ie kula unga, kuwa shoga,kubet mikeka Nk.
Hujambo lkn Rafikinimecheka sana jaman yaan u made my day
sijambo best za ww!yaan umenifurahishaHujambo lkn Rafiki
Ahsante kwa kufurahi,ila nadhani sijakosea ,nawaelewa vzr mno wabongo ktk suala la unafikisijambo best za ww!yaan umenifurahisha
hahahaa hatujifichiAhsante kwa kufurahi,ila nadhani sijakosea ,nawaelewa vzr mno wabongo ktk suala la unafiki
Kabisa na ndio maana wale wa kijana na njano hawapati tabuhahahaa hatujifichi
kwani huyu motto amefanyaje, na maumivu makali jamaniFundisho dogo sana tunalipata kupitia huyu mtoto kwamba
1.ugomvi wa baba na mama usimuhusu mtoto......
2.matatizo ya familia hayatatuliwi mitandaoni....
3.Usitake kumkomoa mzazi mwenzako kwa kupitia mtoto...
4.Wanaume tusiwe shamba wa mapenzi kisa umepata msichana unayedhani kuwa ni mzuri na maarufu ukasahau hadi mwanao kisa tu unakula bata na huyo malaya
5.Castro na Muna ni Was.enge ugomvi wao umepelekea kifo cha mtoto wao kizembe sana
6.Wanawake/Wanaume wa mitandaoni sio wa kuoa au kuolewa nao hawana family ethics...
7......ongezea.....
Kuna kitu nawaza maybe muna hataki mtoto azikwe na peter na ndo sababu anang'ang'ania kuwa mtoto ni wa casto sababu casto hatakua na mamlaka ya kuamua juu ya mazishi so anafanya hivyo ili asibugudhiwe na baba wa mtotomi nashangaa kwa kweli.....kwa nini mtoto alikuwa anaitwa Patric Peter? nimeona video huko YouTube ya siku nyingi tu mtoto katambulishwa kama Patrick Peter.....
Hahaha kwa nnMimi kuna muda naamini umbea wa Milly the maid c kwa ujasiri huu alonao mfiwa
Kabisa wakamzike bwanaFull drama asee huu msiba utaenda mahakamani asee....innocent boy ameanza kuteswa tangu yuko hai na sasa maiti bado anateswa....poor parents!!
Yaani tunaomboleza kidigital tunalia kwa emojiYaani kanishinda tabia Huyu Dada.
pengine inawezekana ameandikiwa lakini angekaa kimya au mtu tu wa karibu akasema itokee wenye akili ya kufikiri ya haraka kama weee kua hakuandika yeye unaweza kuimagine wangapi watakua wamefikiri hivyoHapana unajua watu walikua na mkanganyiko wa msiba na yeye ndo kila kitu ukute walio nae karibu walimuambie aseme na ukute hajaandika yeye ameandikiwa pia watu walikua waende wapi mwananyamala au mbezi!
Ndo maana ametoa hyo statement IG maana kwa watu maarufu pale ndo kila kitu kwa taarifa