Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
Casto sio baba mzazi wa Patrick
Baba wa Pat anaitwa Peter.
Mume wa awali wa Rose (Muna).
Na ndio maana Casto hakuwa attention na ugonjwa wa 'mwanae'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Casto sio baba mzazi wa Patrick
Baba wa Pat anaitwa Peter.
Mume wa awali wa Rose (Muna).
Na ndio maana Casto hakuwa attention na ugonjwa wa 'mwanae'
Full drama asee huu msiba utaenda mahakamani asee....innocent boy ameanza kuteswa tangu yuko hai na sasa maiti bado anateswa....poor parents!!Ndio naposhangaa pamoja na maumivu ya kufiwa angekaa kimya akaomboleza anavyojua kutype na para yote hiyo, hakika sisi ni wa Mwenyez Mungu na kwake tutarejea
Mimi kuna muda naamini umbea wa Milly the maid c kwa ujasiri huu alonao mfiwaMtoto amemueka tumbon miezi tisa akakuza, leo Allah akamchukua, unapata wapi nguvu za kujibu watu?? Aisee
Hivi Milly alisema nini kwani?Mimi kuna muda naamini umbea wa Milly the maid c kwa ujasiri huu alonao mfiwa
Muna anataka kumtoa mtoto wake kafara awe na Mijihela.Hivi Milly alisema nini kwani?
Upuuzi kugombea maiti halafu ya mtoto!Baba kasema Mwananyamala, mama mbezi kumbuka Hawa Wote ni wazazi wa mtoto msiba utahamia mahakaman Labda mmoja ajishushe.
Malipo ya ngada haya!Full drama asee huu msiba utaenda mahakamani asee....innocent boy ameanza kuteswa tangu yuko hai na sasa maiti bado anateswa....poor parents!!
Yawezekana si kwa kumpandisha mgonjwa TahmeedMuna anataka kumtoa mtoto wake kafara awe na Mijihela.
mi nashangaa kwa kweli.....kwa nini mtoto alikuwa anaitwa Patric Peter? nimeona video huko YouTube ya siku nyingi tu mtoto katambulishwa kama Patrick Peter.....Hapo ukute alikua na kadi mbili za clinic akienda kwa casto inasoma jila lake na same pia kwa peter.
Mi nimepata funzo hapa za mwizi ni arobaini ila kuna zingine huwa zinakuja vibaya na wakati ambao si sahihi. Wakulaumiwa ni Muna na kama walikua hawatoi pesa wana sababu zao mana si kwa kupangwa huku. Sijui hata kama alikumbuka kumwambia ukweli mwanae baba mzazi ni yupi kati ya hao wote.
Hivi angekaa kimya angepungukiwa nini, umefiwa na mtoto wako unapataje nguvu za kuingia insta! Lol duniani kuna mambo
Hapa ndo wanawake hatuaminiki, mtoto anafanywa mtajiHuyu Dada asipojifunza Kwenye Hili basi Tena.
Fundisho : mtu ukiokoka toa ushuhuda Wa ukweli Huyu aliokoka lakini kuna mengi maovu hakuyaweka hadharani nadhani waswahili waliosema Fimbo ya Mungu ndio Hii maana jambo moja baada ya jingine linabumburuka. Mpaka sasa tushajua nyumba anayoishi kapangiwa na muimba gospel mwenzie Uwiiiiii Na ndio kwanza asubuhi.
Hapo ukute alikua na kadi mbili za clinic akienda kwa casto inasoma jila lake na same pia kwa peter.
Mi nimepata funzo hapa za mwizi ni arobaini ila kuna zingine huwa zinakuja vibaya na wakati ambao si sahihi. Wakulaumiwa ni Muna na kama walikua hawatoi pesa wana sababu zao mana si kwa kupangwa huku. Sijui hata kama alikumbuka kumwambia ukweli mwanae baba mzazi ni yupi kati ya hao wote.
Mtoto sio wa castor
nimecheka sana jaman yaan u made my dayNdio maana Ccm inashinda ( nje ya Mada)
Mtoto amemueka tumbon miezi tisa akakuza, leo Allah akamchukua, unapata wapi nguvu za kujibu watu?? Aisee
haaaaaaaaaaaaa hii ndo jf jaman !niliimiimisAmewahi kua Balozi wa tanzania nchini lebanon