Ukija kuangalia kwa makini ni usasa wa mzazi ,makeups zenye sumu alizokuwa anatumia huku ana mtoto mdogo...vyakula alivyokuwa anampatia na vinywaji piaPole Sana Muna Luv kwa Kumpoteza Mtoto.
--Ila Muna amepitia changamoto nyingi sana na Marehemu mwanawe.....Huyo Dogo alikuwa anaijua dini sana na akaokoka.
-Ugonjwa wa figo kwa mtoto mdogo,chanzo ni nini?
Casto sio baba mzazi wa Patrick
Baba wa Pat anaitwa Peter.
Mume wa awali wa Rose (Muna).
Na ndio maana Casto hakuwa attention na ugonjwa wa 'mwanae'
Vua vaa vya rachel miwayaNavaa viatu vya Muna vinanibana.
R. I. P
nimesoma kwa utulivu mkubwa KARMA IS BITCH....Mungu kaamua kumchukua kiumbe wake kumpunguzia maumivu mengi mbeleni
Kwani chanzo cha kifo ni nini,tafadhali hii habari ilinipitaFundisho dogo sana tunalipata kupitia huyu mtoto kwamba
1.ugomvi wa baba na mama usimuhusu mtoto......
2.matatizo ya familia hayatatuliwi mitandaoni....
3.Usitake kumkomoa mzazi mwenzako kwa kupitia mtoto...
4.Wanaume tusiwe shamba wa mapenzi kisa umepata msichana unayedhani kuwa ni mzuri na maarufu ukasahau hadi mwanao kisa tu unakula bata na huyo malaya
5.Castro na Muna ni Was.enge ugomvi wao umepelekea kifo cha mtoto wao kizembe sana
6.Wanawake/Wanaume wa mitandaoni sio wa kuoa au kuolewa nao hawana family ethics...
7......ongezea.....
Ulifiwa kawaida.Umejuaje kama ni malaika?[emoji23] hakuna kila mtoto ni malaika nauliza tuu usinifikirie vibaya maana atakufiwa na mimi nimefiwa sanaa tuu
Kabisa mwayaNi kweli Milly asingesema tungejua kafariki ghafla,,walijua kuficha
Sanaaa aisee.Acha tu ila ametesekaa
Unajua why sijui watu wanaficha ugonjwa wa figo.Ila bora kasema miye nilikua najua anaumwa ila dah!kumbe serious hvyoo
Hahahhh....pole sanaUmeiba kule insta paaap ukatuletea huku
[emoji108]Ukija kuangalia kwa makini ni usasa wa mzazi ,makeups zenye sumu alizokuwa anatumia huku ana mtoto mdogo...vyakula alivyokuwa anampatia na vinywaji pia
ati unalia mamii poleJomoni.huyu dogo aliumwa nini hivi jamani
Nalia tu hapa