Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
your wrong kifo akina umaarufu wala kabwela kudanja ni kudanja tu
Vifo vya kina mama na watoto wachanga vinavyotokana na uzazi...I don't think we are doing enough to reduce them! Sasa kama Dar hapa mtu maarufu anafariki kwa uzazi na hospitali zote zipo hizi...je mke wa 'mlalahoi' vijijini ndani ndani huko atapona!? Nini wajibu wetu na sisi wanaume!? Tupo tupo tu..wake/dada/shangazi/binti zetu wanakufa tu! RIP Recho.
Halafu mbona siku hizi operation zimekuwa common sn nini tatizo? yani mkeo akifika hosptl akisumbua kidogo tu tayar wanakwambia sign hapa,KULIKONI?
Nilimpoteza rafiki yng mwaka jana pale Lugalo, Jesca daaa kama utani vile.RIP dada Recho na my best Jesca.
Ni nani kaapload picha Capt Tamar au MstahikiMeya. Sielewi.
uzazi wa siku hizi unamatatzo sana tafiti zinaonesha wanawake wengi nowdays wanazaa kwa operation sijui hosp zimegeuza mtaji ?anyway ni mipango ya mungu RIP Rechal so sad dah!
tasnia hii imevamiwa na Israel mtoa roho!!