TANZIA: Muigizaji Seth Bosco (Mdogo wa Marehemu Kanumba) amefariki dunia Usiku wa kuamkia leo

TANZIA: Muigizaji Seth Bosco (Mdogo wa Marehemu Kanumba) amefariki dunia Usiku wa kuamkia leo

R. I. P Seth. Mbele yako nyuma yetu. Mungu aitie nguvu familia nzima
 
Pole sana mungu akuponye urudi kwenye hali yako,yani hiyo opp labda kwa wenzetu huko nje ila moi ni kujitafutia kifo tu wanacheza na miili ya watu.
Huyo mgonjwa bila nairobi angekua kilema wa kubebwa kwenye wheelchair
Ila kuna mama mmoja alifanyiwa opp. pale MOI mpaka sasa yupo hai na alipona. Nilisikia walitumia wataalamu toka nje. Sina uhakika. Huwezi kucheza na ubongo maana ndo kila kitu.
 
serious mzee,mimi nakumbuka wakati marehemu mama anatutoka 1997,siku hiyo akiwa hospital alipelekewa viazi ya kupika vimeungwa nyanya,vilipelekwa alionja tu akaaga dunia,vikafunikwa tukaja kupewa watoto wake wakati msiba unarudishwa home.

huwezi amini mpaka leo hii nikionja viazi vilivyoungwa huwa inajijia ile image ya siku ile miaka 22 iliyopita.

Pole sana mkuu

Huwa tunaweza kukubali ila sio kusahau..
 
Huyo tatizo lake halikua kubwa mana hiyo sehemu ni hatari sana,ndio mana alifanyiwa na hao mabingwa toka nje
Ila kuna mama mmoja alifanyiwa opp. pale MOI mpaka sasa yupo hai na alipona. Nilisikia walitumia wataalamu toka nje. Sina uhakika. Huwezi kucheza na ubongo maana ndo kila kitu.
 
Back
Top Bottom