Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka naomba tuwasiliane, nicheki PM; Nimejaribu kukucheki PM naona umefunga PM.
Huwezi kuamini marehemu alikua amefanya interview hapa ninapofanya kazi (nilikua mmoja wa referrees wake kweny Cv yake); Na asubuhi hii HR wetu ananiambia kuwa jana amemtafuta the whole day kumpatia offer. Kumbe ameshaitwa kwa Mungu baba..... Daaahhhhhh!! Huyu jamaa amenitoa machozi. Naomba tuwasiliane kaka, please.
Gallius
Mbona umeguna kaka Mshana?Mmh...!
R.I.P picha yake pls kwa wale tusiomfahamUsiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.
Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu
Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
![]()
Mama umenikaushia kabisa mama.Going too soon son,
Rest Easy.
Ni kweli maisha lazima yaendelee kaka Mshana.Hapana nimekumbuka tu ule usemi wa kufa kufaana
Busara kubwa.Kwakuwa alichagua kuwa anonymous kwenye maisha yake JF halitakuwa jambo la busara labda kwa kibali cha ndugu zake ama Gallius anaweza kutupa muongozo kwenye hili
Pole rafikiYes, he has passed away last night, kesho nitajua nini kimemuua brother na nitawaambia ni wapi pia atapumzishwa kwenye makao yake ya milele...
Hebu nyie wajukuu tulieni kwanzaMama umenikaushia kabisa mama.
Kosa langu ni lipi???