King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Leo mtaani kuna part flani, machizi wote......................... mabov ft ngwea. R.I.P brothers
Madawa yatawamaliza wasanii! Chid Benz ana hitaji msaada wa haraka!
Mungu amlaze anapo stahili!
Muziki bila madawa unawezekana!
Jina lake la kiserikali ni nani?
hasa wa hiphop,list ni ndeeeeeefu y awna hiphop. Jamani daz baba anaendeleaje,maana huyo ndo alikuwa na dalili zote za kung'okamiaka mitano ijayo kuna wasanii wengi sana watapotea sababu ya sembe
hasa wa hiphop,list ni ndeeeeeefu y awna hiphop. Jamani daz baba anaendeleaje,maana huyo ndo alikuwa na dalili zote za kung'oka
hasa wa hiphop,list ni ndeeeeeefu y awna hiphop. Jamani daz baba anaendeleaje,maana huyo ndo alikuwa na dalili zote za kung'oka
Geez Mabovu ft. Joh- Nilikotoka,bonge la ngoma