Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Unga mbaya , unga noma , Mungu akuhurumie , akupokee huko tujapo.
hawa masela wakijaga town wanaishia kwenye ma group ya ovyo..wanataka kuwa wajanja kuliko wazawa..kuiga sana unyamwezini sio ujanja..ila ngoma zake za dakika sifuri na mtoto wa kiume ni soo...R.I.P
Unga umezidi maji!
Kuna ngoma Kali kinoma kaimba ally kiba Marlow na mabovu!!
Bonge la dude