Tanzia: Mwanamuziki Geez Mabovu aaga dunia

Kiboko

Kila mtu ameguswa kwa namna yake.
Madhali hajaandika kitu kibaya wala kumtusi mtu.....basi yanini kumfanyia hasira isokuwa na tija kiasi hicho?
 
Last edited by a moderator:
Dah! Mabovu kashaanguka?! Huu mwaka huu hadi unanitisha kwa speed yake ya kuondoka na watu.
Apumzike kwa amani.
Ova
 
hawa masela wakijaga town wanaishia kwenye ma group ya ovyo..wanataka kuwa wajanja kuliko wazawa..kuiga sana unyamwezini sio ujanja..ila ngoma zake za dakika sifuri na mtoto wa kiume ni soo...R.I.P
 
hawa masela wakijaga town wanaishia kwenye ma group ya ovyo..wanataka kuwa wajanja kuliko wazawa..kuiga sana unyamwezini sio ujanja..ila ngoma zake za dakika sifuri na mtoto wa kiume ni soo...R.I.P

Poda ita wamaliza sana vijana, daah mchizi mabovu gang rapper ndio basi tena,dakika 0 mtoto wa kiume ndio kashaenda hivyo.R.I.P nigger!!!
 
~Kaka Voda milionea unawamaliza machizi,wastue wadogo zako waache poda wale mmea.
~King'oko imepotea bora ulivyofungua car wash.
 
In the clouds.i'll meet you again RIP jambazi langu.


 

Attachments

  • mabovu.jpg
    16.3 KB · Views: 528
  • mabovu2.jpg
    37.9 KB · Views: 506
Last edited by a moderator:

Attachments

  • mabv.JPG
    104.5 KB · Views: 884
  • mabo3.jpg
    8 KB · Views: 506
  • mabov.jpg
    56.4 KB · Views: 521
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…