Amani kwa kaka voda milionea,waambie wanao waache poda wale mmea_Jay moe :Jipange.
Amani kwa kaka milionea,mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea_Langa kileo
Amani kwa voda milionea mwambie moe nimeacha poda na wala sili mmea_langa baada ya kuacha drugs
Ushamjua kaka voda milionea?
Dogo asingejiunga na kundi la akina Langa na Babuu wa kitaa kula bange na unga na kutwa kushinda pale Container AAR alikuwa yuko fiti sana
Deo Corleon, niambie mimi huyo kaka voda ni nani?naona wenge tu hapa.
Amani kwa kaka voda milionea,waambie wanao waache poda wale mmea_Jay moe :Jipange.
Amani kwa kaka milionea,mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea_Langa kileo
Amani kwa voda milionea mwambie moe nimeacha poda na wala sili mmea_langa baada ya kuacha drugs
Ushamjua kaka voda milionea?
whatever the cause of his death might be, but the root source ya kifo chake ni Drugs Use (poda).
wako wengi sana wataunga tela hili la mapowda
Baba ake amesema geez alikua anasumbuliwa na kifua
Wamuige Jay Mo, kitambo sana kwenye game lakini hasubutu kunusa powda. Yeye na mmea a.k.a bange tu, mwenyewe huwa ana kamsemo kake: 'kuwasha udi' π
Baba ake amesema geez alikua anasumbuliwa na kifua
I smoke da Gud shit inanifanya niwaze vyema,hainizingui,hainitibuiWamuige Jay Mo, kitambo sana kwenye game lakini hasubutu kunusa powda. Yeye na mmea a.k.a bange tu, mwenyewe huwa ana kamsemo kake: 'kuwasha udi' π
hata mi nna kifua
Mshitue kapachino kwenye kona,akupe kitu cha arusha,mi ninacho cha Dodoma, usisahau kutoka bring,ova kama umenisoma!!Wamuige Jay Mo, kitambo sana kwenye game lakini hasubutu kunusa powda. Yeye na mmea a.k.a bange tu, mwenyewe huwa ana kamsemo kake: 'kuwasha udi' π
Ndo maana umelia usiku kucha!!
anawasha udi hahahaaaa
tatizo madogo wengi wa kino clan wanaiga sanaa
kingoko ilikuwa maskani ya watoto wa mikocheni(regent) wakina langa, babuu etc ilikuwa click kubwahivi kipindi kile anaprint t shirt za king'oko ilikuwa ni zuga au alikuwa hajaanza ku piush madudez, halfu mbona hata mtoto wa mkuu kaya na yeye anahusishwa ku deal sembe kule mitaa ya king'oko?