TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

wambeke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
2,655
Reaction score
2,650
Wanajamvi.

Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwaataarifu Member mwenzetu Heaven Sent kafiwa na Baba ake Mzazi leo hii.

Kwa Mujibu wa Heaven anasema mzazi wake ameamka salama akiwa anajiandaa kwenda kazini alijiskia vibaya akasema acha apumzike kidogo ataenda baadae.

Gafla hali yake ikabadirika ikabidi akimbizwe Hospitalini Madktari walivyompima wakasema Presha iko juu.

Wakiwa wanaendelea kumpatia huduma hali ilizidi kuwa mbaya zaidi
hatimae Mzee akakata roho.

Raha Ya Milele Umpe Eeh Bwana, Na Mwanga Wa Ulimwengu Umwangazie, Apumzike Kwa Amani. Amen.



Update muhimu. kwa wale watakaopenda kutoa rambi rambi zao wanaweza kupitia huu uzi hapo chini

https://www.jamiiforums.com/threads/tanzia-mrejesho-wa-msiba-wa-baba-wa-mwenzetu.1135484/unread
 
Dah aiseeee sina hata cha kusema ,Mwenyenzi Mungu mwingi wa rehema kawape nguvu katika kipindi hiki kigumu na ailaze roho yake mahali pema peponi
 
Mwenyezi Mungu ampe nguvu ktk kipindi hiki kigumu.

Roho ya marehemu ipunzike kwa amani.
 
Ni huzuni kubwa kwa kweli.
Hitimisho lako linapendekeza kuwa wewe una fimbo ya musa (wajuzi wa biblia wanajua nimesema nini) kama huna hiyo fimbo basi ujue kuwa kuna apaswaye kusema akiwa na mamlaka duniani.
RIP BABA.
Wanajamvi.

Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwaataarifu Member mwenzetu Heaven Sent kafiwa na Baba ake Mzazi leo hii.

Kwa Mujibu wa Heaven anasema mzazi wake ameamka salama akiwa anajiandaa kwenda kazini alijiskia vibaya akasema acha apumzike kidogo ataenda baadae.

Gafla hali yake ikabadirika ikabidi akimbizwe Hospitalini Madktari walivyompima wakasema Presha iko juu.

Wakiwa wanaendelea kumpatia huduma hali ilizidi kuwa mbaya zaidi
hatimae Mzee akakata roho.

Raha Ya Milele Umpe Eeh Bwana, Na Mwanga Wa Ulimwengu Umwangazie, Apumzike Kwa Amani. Amen.
hu
 
Back
Top Bottom