TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

Tatizo la JF na ID zetu fake na kutokutaka kujuana kunatufanya hata tushindwe kualikana kwenye mambo kama haya.Tungejua anaishi wapi,no zake za simu(in case mtu anataka kutuma rambirambi),ingekuwa rahisi wengine kuhudhuria.

BTW;
May God rest the soul of our beloved father in peace!Amen.

Mkuu bado nafanya nae mawasiliano zaidi. pale atapokuwa tayari nitawapatia no zake za sm.

ila msiba uko Mkoani Mbeya.
 
Back
Top Bottom