TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

HATA Mmoja..na kama kuna yeyote ananijua humu
Baas namzawadia kiwango kinono cha FEDHA.
Taja kiwango boss wangu, watu wamwage data zako hapa! Ukisema FEDHA tu, unakuwa non-committal!😀😀😀
 
Rip mzee

Kuna uzi humu uliwahi jadiliwa kitambo kidogo
'Ni jambo gani baba yako aliwahi kukufanyia huwezi kusahau.
Nakumbuka kwenye uzi huu dada HS alitiririka sana kumshukuru baba yake nimeshindwa kuuweka msaada plz mnisaidie kuuweka
 
Wanajamvi.

Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwaataarifu Member mwenzetu Heaven Sent kafiwa na Baba ake Mzazi leo hii.

Kwa Mujibu wa Heaven anasema mzazi wake ameamka salama akiwa anajiandaa kwenda kazini alijiskia vibaya akasema acha apumzike kidogo ataenda baadae.

Gafla hali yake ikabadirika ikabidi akimbizwe Hospitalini Madktari walivyompima wakasema Presha iko juu.

Wakiwa wanaendelea kumpatia huduma hali ilizidi kuwa mbaya zaidi
hatimae Mzee akakata roho.

Raha Ya Milele Umpe Eeh Bwana, Na Mwanga Wa Ulimwengu Umwangazie, Apumzike Kwa Amani. Amen.
RIP baba eetuuu
 
polen sana wafiwa mungu awape faraja kipindi hiki kigumu kwa wale mlio nae karbu mtuwakilshe familia ya jamii forum
 
Wanajamvi.

Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwaataarifu Member mwenzetu Heaven Sent kafiwa na Baba ake Mzazi leo hii.

Kwa Mujibu wa Heaven anasema mzazi wake ameamka salama akiwa anajiandaa kwenda kazini alijiskia vibaya akasema acha apumzike kidogo ataenda baadae.

Gafla hali yake ikabadirika ikabidi akimbizwe Hospitalini Madktari walivyompima wakasema Presha iko juu.

Wakiwa wanaendelea kumpatia huduma hali ilizidi kuwa mbaya zaidi
hatimae Mzee akakata roho.

Raha Ya Milele Umpe Eeh Bwana, Na Mwanga Wa Ulimwengu Umwangazie, Apumzike Kwa Amani. Amen.
Poleni wafia...!

Tunaomba location za ulipo msiba, au taratibu za msiba ili nasi tushiriki
 
Mkuu bado nafanya nae mawasiliano zaidi. pale atapokuwa tayari nitawapatia no zake za sm.

ila msiba uko Mkoani Mbeya.
Mkuu nadhani hakuna ulazima wa kuweka namba zake hapa.. Au hata yeye kutoa namba hakuna ukazima .. Cha kufanya ni sisi tukubaliane na mods sijui wana taratibu gani tumpe pole mwenzetu.
Hapa hatujuani ndio maisha yetu ya livyo
 
Back
Top Bottom