SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,613
- 7,889
Taja kiwango boss wangu, watu wamwage data zako hapa! Ukisema FEDHA tu, unakuwa non-committal!😀😀😀HATA Mmoja..na kama kuna yeyote ananijua humu
Baas namzawadia kiwango kinono cha FEDHA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taja kiwango boss wangu, watu wamwage data zako hapa! Ukisema FEDHA tu, unakuwa non-committal!😀😀😀HATA Mmoja..na kama kuna yeyote ananijua humu
Baas namzawadia kiwango kinono cha FEDHA.
RIP baba eetuuuWanajamvi.
Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwaataarifu Member mwenzetu Heaven Sent kafiwa na Baba ake Mzazi leo hii.
Kwa Mujibu wa Heaven anasema mzazi wake ameamka salama akiwa anajiandaa kwenda kazini alijiskia vibaya akasema acha apumzike kidogo ataenda baadae.
Gafla hali yake ikabadirika ikabidi akimbizwe Hospitalini Madktari walivyompima wakasema Presha iko juu.
Wakiwa wanaendelea kumpatia huduma hali ilizidi kuwa mbaya zaidi
hatimae Mzee akakata roho.
Raha Ya Milele Umpe Eeh Bwana, Na Mwanga Wa Ulimwengu Umwangazie, Apumzike Kwa Amani. Amen.
Poleni wafia...!Wanajamvi.
Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwaataarifu Member mwenzetu Heaven Sent kafiwa na Baba ake Mzazi leo hii.
Kwa Mujibu wa Heaven anasema mzazi wake ameamka salama akiwa anajiandaa kwenda kazini alijiskia vibaya akasema acha apumzike kidogo ataenda baadae.
Gafla hali yake ikabadirika ikabidi akimbizwe Hospitalini Madktari walivyompima wakasema Presha iko juu.
Wakiwa wanaendelea kumpatia huduma hali ilizidi kuwa mbaya zaidi
hatimae Mzee akakata roho.
Raha Ya Milele Umpe Eeh Bwana, Na Mwanga Wa Ulimwengu Umwangazie, Apumzike Kwa Amani. Amen.
Mkuu nadhani hakuna ulazima wa kuweka namba zake hapa.. Au hata yeye kutoa namba hakuna ukazima .. Cha kufanya ni sisi tukubaliane na mods sijui wana taratibu gani tumpe pole mwenzetu.Mkuu bado nafanya nae mawasiliano zaidi. pale atapokuwa tayari nitawapatia no zake za sm.
ila msiba uko Mkoani Mbeya.