TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

Poleni sana wafiwa. Mungu awape nguvu na imani ktk kipindi hiki kigumu. RIP baba
 
samahani naomba muwe mnaweka na picha ya marehemu maan tunaweza tukawa tunajuana

poleni sana na msiba
 
Wanajamvi.

Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwaataarifu Member mwenzetu Heaven Sent kafiwa na Baba ake Mzazi leo hii.

Kwa Mujibu wa Heaven anasema mzazi wake ameamka salama akiwa anajiandaa kwenda kazini alijiskia vibaya akasema acha apumzike kidogo ataenda baadae.

Gafla hali yake ikabadirika ikabidi akimbizwe Hospitalini Madktari walivyompima wakasema Presha iko juu.

Wakiwa wanaendelea kumpatia huduma hali ilizidi kuwa mbaya zaidi
hatimae Mzee akakata roho.

Raha Ya Milele Umpe Eeh Bwana, Na Mwanga Wa Ulimwengu Umwangazie, Apumzike Kwa Amani. Amen.

AMEN. BWANA KATOA , BWANA KATWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
 
Tatizo la JF na ID zetu fake na kutokutaka kujuana kunatufanya hata tushindwe kualikana kwenye mambo kama haya.Tungejua anaishi wapi,no zake za simu(in case mtu anataka kutuma rambirambi),ingekuwa rahisi wengine kuhudhuria.

BTW;
May God rest the soul of our beloved father in peace!Amen.
 
Back
Top Bottom