Tanzia: Mzee Manento wa Bongo Movie afariki dunia

Tanzia: Mzee Manento wa Bongo Movie afariki dunia

Alikuwa anaigiza vizuri sana. R.I.P mzee.
 
Alivaa uhusika visur sana dar 2 lagos.RIP mzee.
 
R.I.P Mzee Manento, wasanii na Watanzania kwa ujumla.
 
Aliigiza na kanumba sanaaa huyo mzeeee
Jamaa kaniambia aliigiza movie ya Dar to Lagos, Huwa napanga kuiangalia hii movie tangu itoke but sijafanikiwa kupata muda. Nasikia ni nzuri sana, Safari hii Lazima niitafute. Mia
 
Pumzika kwa Amani msanii wetu;
Pole sana wafiwa wote.
 
Back
Top Bottom