Omarymbwambo1980
Member
- Oct 28, 2014
- 47
- 25
R.I.P mzee Manento
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akamueke pale alipopachagua alipokua hai.....
Manento alianzia kushine Kaole pale, kisha akawa akicheza filamu nyingi sana za Game 1st Quality akiwa na marehemu Kanumba na wasanii wengine, lakini baada ya Kanumba kuondoka Game 1st Quality na kuhamia Steps, hakuwa akifanya naye filamu sana.
Huyu Mzee alikuwa anaumwa nakunbuka kama miezi miwili iliyopita nilimuona kwenye luninga akiongea kuhusu kuugua kwake huku akiwa amedhoofu sana, na alikuwa akisema ameanza kupata nafuu.
RIP Mzee wetu.
Nilianza kumjua kwenye movie ya marehemu kanumba aliyoigiza na akina mercy Johnson inaitwa DAR TO LAGOS dah nilimkubal sana , yule mzee alikuwa na hekima sana na Mpole, yani sijui kwa nini Roho imeniuma kweli kusikia hatupo nae Tena, Rest in Peace mzee
RIP manento
yaani mmh nimekosa neno
Nilianza kumjua kwenye movie ya marehemu kanumba aliyoigiza na akina mercy Johnson inaitwa DAR TO LAGOS dah nilimkubal sana , yule mzee alikuwa na hekima sana na Mpole, yani sijui kwa nini Roho imeniuma kweli kusikia hatupo nae Tena, Rest in Peace mzee
Manento alianzia kushine Kaole pale, kisha akawa akicheza filamu nyingi sana za Game 1st Quality akiwa na marehemu Kanumba na wasanii wengine, lakini baada ya Kanumba kuondoka Game 1st Quality na kuhamia Steps, hakuwa akifanya naye filamu sana.
Huyu Mzee alikuwa anaumwa nakunbuka kama miezi miwili iliyopita nilimuona kwenye luninga akiongea kuhusu kuugua kwake huku akiwa amedhoofu sana, na alikuwa akisema ameanza kupata nafuu.
RIP Mzee wetu.