Mtanzania lakini natumia impersonal style.
Mungu aulaze mwili wa marehemu mahali pema peponi.
Mungu aulaze mwili wa marehemu mahali pema peponi.
Jamaa kaniambia aliigiza movie ya Dar to Lagos, Huwa napanga kuiangalia hii movie tangu itoke but sijafanikiwa kupata muda. Nasikia ni nzuri sana, Safari hii Lazima niitafute. MiaAliigiza na kanumba sanaaa huyo mzeeee
Samahani, poleni familia, wasanii na Watanzania kwa ujumla.R.I.P Mzee Manento, wasanii na Watanzania kwa ujumla.
RIP mzee maneno