TANZIA Tanzia nabii Flora Peter, amefariki dunia katika Hospitali ya Kitengule Jijini Dar es salaam

TANZIA Tanzia nabii Flora Peter, amefariki dunia katika Hospitali ya Kitengule Jijini Dar es salaam

Wadau hamjamboni nyote?

Naambiwa Nabii Flora amefariki jana akipatiwa matibabu hospital ya Kitengule Tegeta

Naambiwa msiba upo salasala nyumbani kwake na pia kwenye Kanisa lake na nje ya Kanisa kuna viti vimepangwa

Kana taarifa zina ukweli naomba nitoe pole Kwa Ndugu, jamas na waamini wote.

Alikuwa Nabii mkubwa aliyejitoa kwa kazi ya Mungu

Mwenye taarifa zaidi atujuze

=====

TANZIA NABII FLORA AMEFARIKI DUNIA KATIKA HOSPITALI YA KITENGULE JIJINI DAR ES SALAAM ,
View attachment 3053833
MSIBA UKO KANISANI KWAKE MBUYUNI NJIA YA KUINGILIA SALASALA UPANDE WA KULIA.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE, APUMZIKE KWA AMAN AMEEN.

DR. CATHERINE YATOSHA

Kwa masikitiko makubwa kabisa tumeondokewa na dada yetu mpendwa Nabii Frolah Peter Makunga amefariki Jana jioni Tarehe 25/7/2024 hapo Dar es salaam Katika hospital ya KITENGULE - TEGETA * alipokuwa akipatiwa matibabu kwa muda, tunafanya utaratibu wa kusafirisha *Shinyanga kwaajili ya mazishi kijijini kwao LOHUMBO kata ya NYIDA Shinyanga Vijijini.

Bwana alitoa na bwana ametwaa hivyo jina lake na libarikiwe.


Hii ni taarifa ya awali

HISTORIA FUPI
View attachment 3053832
Bwana Yesu Asifiwe, anaitwa Nabii Flora Peter wa Kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi Mbezi Beach Salasala hapa jijini Dar es Salaam.

Alianza huduma Mbezi mwaka 2010, alianza peke yake bila ya mtu yeyote yule, akawa anafanya huduma yake nje na hakuwa na sehemu rasmi kwaajili ya kazi ya Mungu ,kwahiyo akawa anafanyia maombezi nyumbani.

Alikuwa anmuomba Mungu sana akiwa peke yangu ili amsaidie katika huduma.

Maono yake ilikuwa kusaidia watoto Yayima
Huo unabii aliupata wapi?
 
Daaaa!!
Biblia inasema, usihukumu usije ukahukumiwa.
Nilijikuta nimefika kwa Nabii Frola nikimsindikiza jamaa yangu ambaye alipotelewa na mtoto. Tulifika hapo baada ya kuwa tumemtafuta mtoto siku 2 kila mahali hadi mortuary bila mafanikio. Watu wakawa wameshauri twende kwa Nabii Frola na ndio ikawa first time yangu kwenda pale.

Nilipomuona; kibinadamu nilishangaa kutokana na mavazi yake pia alivyojipamba. Tulimuelezea kuwa kijana amepotea akienda shule. Akaomba sana na akatuambia anamuona kijana yupo hai, tena yupo eneo lenye watu wengi amevaa kofia na nguo chafu chafu tena hajielewi na amekaa chini ya watu. Akasema tuanze kumtafuta kuanzia mwenge hadi external pembeni ya barabara tutamuona. Binafsi sikuwa nimemuamini ila kwa kuwa namsindikiza jamaa yangu; nilimtia moyo tukatoka na kuanza kumtafuta. Kwa mshangao tulimkuta kijana chini ya daraja la Ubungo (wakati ule bado hawajajenga) na kwa juu kulikuwa na watu wengi na biashara mbalimbali zilikuwa zikifanywa kama Nabii alivyosema!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naambiwa Nabii Flora amefariki jana akipatiwa matibabu hospital ya Kitengule Tegeta

Naambiwa msiba upo salasala nyumbani kwake na pia kwenye Kanisa lake na nje ya Kanisa kuna viti vimepangwa

Kana taarifa zina ukweli naomba nitoe pole Kwa Ndugu, jamas na waamini wote.

Alikuwa Nabii mkubwa aliyejitoa kwa kazi ya Mungu

Mwenye taarifa zaidi atujuze

=====

TANZIA NABII FLORA AMEFARIKI DUNIA KATIKA HOSPITALI YA KITENGULE JIJINI DAR ES SALAAM ,
View attachment 3053833
MSIBA UKO KANISANI KWAKE MBUYUNI NJIA YA KUINGILIA SALASALA UPANDE WA KULIA.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE, APUMZIKE KWA AMAN AMEEN.

DR. CATHERINE YATOSHA

Kwa masikitiko makubwa kabisa tumeondokewa na dada yetu mpendwa Nabii Frolah Peter Makunga amefariki Jana jioni Tarehe 25/7/2024 hapo Dar es salaam Katika hospital ya KITENGULE - TEGETA * alipokuwa akipatiwa matibabu kwa muda, tunafanya utaratibu wa kusafirisha *Shinyanga kwaajili ya mazishi kijijini kwao LOHUMBO kata ya NYIDA Shinyanga Vijijini.

Bwana alitoa na bwana ametwaa hivyo jina lake na libarikiwe.


Hii ni taarifa ya awali

HISTORIA FUPI
View attachment 3053832
Bwana Yesu Asifiwe, anaitwa Nabii Flora Peter wa Kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi Mbezi Beach Salasala hapa jijini Dar es Salaam.

Alianza huduma Mbezi mwaka 2010, alianza peke yake bila ya mtu yeyote yule, akawa anafanya huduma yake nje na hakuwa na sehemu rasmi kwaajili ya kazi ya Mungu ,kwahiyo akawa anafanyia maombezi nyumbani.

Alikuwa anmuomba Mungu sana akiwa peke yangu ili amsaidie katika huduma.

Maono yake ilikuwa kusaidia watoto Yayima
Alianza kwa Askofu Bendera Kigamboni,ndipo akafungua la kwake . Dokii ndiye alikuwa campaign manager wao.
 
Dah.....Rest easy Nabii Florah.
Manabii wanawake kwa kawaida ni wachahce sana.
Hata zama za kale hawakuwa wengi.
Kumpoteza huyu nabii ni pigo kubwa wa wafuasi wake
 
Back
Top Bottom