Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Kumbukumbu zangu bado zipo vizuri lmaoooo, nilihisi tu ndo huyu…kumbe kanisa lake liliendelea?Nikikumbuka video yake alivyo kuwa akimuongoza "mbebwa miujiza" akijua amezima [emoji441] nachoka kabisa.
Kanisa lake lilijifia siku nyingi tuuMwenyezi Mungu amrehemu, nawaza hatma ya kanisa lake
Inachanganya sanaWadau hamjamboni nyote?
Naambiwa Nabii Flora amefariki jana akipatiwa matibabu hospital ya rabinisya Tegeta
Naambiwa msiba upo salasala nyumbani kwake na pia kwenye Kanisa lake na nje ya Kanisa kuna viti vimepangwa
Kana taarifa zina ukweli naomba nitoe pole Kwa Ndugu, jamas na waamini wote.
Alikuwa Nabii mkubwa aliyejitoa kwa kazi ya Mungu
Mwenye taarifa zaidi atujuze
=====
TANZIA NABII FLORA AMEFARIKI DUNIA KATIKA HOSPITALI YA KITENGULE JIJINI DAR ES SALAAM ,
Elezea kwa upanaHuyu mama sina haja naye. Alitaka kunitapeli mchana kweupe
Usitupangie,mbona kuna wabeba majini wakina sharifu manawaamini,same game defferent playershuu unabii wa karne hii huu mmmhh.wakristo mjitafakari sio kila ukilala ukaamka unajiita nabii,hiv mnajua hata sifa za binadamu kuitwa nabii??
nabii wa kike😂😂😂 Mungu apokee kiumbe chake akiweke sehemu stahikiWadau hamjamboni nyote?
Naambiwa Nabii Flora amefariki jana akipatiwa matibabu hospital ya rabinisya Tegeta
Naambiwa msiba upo salasala nyumbani kwake na pia kwenye Kanisa lake na nje ya Kanisa kuna viti vimepangwa
Kana taarifa zina ukweli naomba nitoe pole Kwa Ndugu, jamas na waamini wote.
Alikuwa Nabii mkubwa aliyejitoa kwa kazi ya Mungu
Mwenye taarifa zaidi atujuze
=====
TANZIA NABII FLORA AMEFARIKI DUNIA KATIKA HOSPITALI YA KITENGULE JIJINI DAR ES SALAAM ,
View attachment 3053833
MSIBA UKO KANISANI KWAKE MBUYUNI NJIA YA KUINGILIA SALASALA UPANDE WA KULIA.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE, APUMZIKE KWA AMAN AMEEN.
DR. CATHERINE YATOSHA
Kwa masikitiko makubwa kabisa tumeondokewa na dada yetu mpendwa Nabii Frolah Peter Makunga amefariki Jana jioni Tarehe 25/7/2024 hapo Dar es salaam Katika hospital ya KITENGULE - TEGETA * alipokuwa akipatiwa matibabu kwa muda, tunafanya utaratibu wa kusafirisha *Shinyanga kwaajili ya mazishi kijijini kwao LOHUMBO kata ya NYIDA Shinyanga Vijijini.
Bwana alitoa na bwana ametwaa hivyo jina lake na libarikiwe.
Hii ni taarifa ya awali
HISTORIA FUPI
View attachment 3053832
Bwana Yesu Asifiwe, anaitwa Nabii Flora Peter wa Kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi Mbezi Beach Salasala hapa jijini Dar es Salaam.
Alianza huduma Mbezi mwaka 2010, alianza peke yake bila ya mtu yeyote yule, akawa anafanya huduma yake nje na hakuwa na sehemu rasmi kwaajili ya kazi ya Mungu ,kwahiyo akawa anafanyia maombezi nyumbani.
Alikuwa anmuomba Mungu sana akiwa peke yangu ili amsaidie katika huduma.
Maono yake ilikuwa kusaidia watoto Yayima
Nani aliufunga?ulifungwa lini?wahafidhina mnaboa sana?Mlango WA Unabii na Utume ulishafungwa kitambo!
Ukuona hizi takataka mambo Leo jua ni matapeli tu WA kawaida waliojiajiri kwenye sekta ya injili!
Binamu kama mkiambiwa kuchagua wewe nichague tu nisije patwa na wengine wasinionee huruma.Mungu fundi sana,
Anajua starehe ya mwanaume ni mwanamke mrembo, hivyo peponi wanaume tutapewa wanawake warembo.
Kisha wanawake ni wanapenda uzuri, kuhangaika kote, make up, sijui dawa za kuongeza nyonyo, kutoa kitambi, kuongeza tako na hips ni kuusaka urembo, sasa wanawake watakaoingia peponi ndio watapewa urembo usio na kifani, ndio hao mahurain.
Swali je binamu yangu utakubali kuwa hurain wangu wa peponi, tugegedane huko peponi? 😂
Nabii John sinNabii flora????? Hivi vyeo wanapewa na nani?
Au hata mimi nikianza kujiita nabii basi ndio nakuwa nabii
Upike umpikie nani, kule ni BAFUNIKA, BAFUNUA😂, Hakuna kwenda kazini, KAZI ni 1 tu 🤣😂Binamu kama mkiambiwa kuchagua wewe nichague tu nisije patwa na wengine wasinionee huruma.
Na nasikia hakuna kupika wala kwenda kazini, ni humu tuuuu…🤣
Ni binadamu kama weweSasa Nabii atakufaje?? Au kapaa mbinguni!!? Ha ha ha hatareee
Uko sahihi 100% Mkuu. Baada ya kuacha kubakia Yeye kama Yeye Mtumishi wa Mungu asiyekuwa na mambo ya Kidunia na kuamua rasmi kuanzisha Mahusiano na Kijana Mmoja hivi wa Fursa aitwae Daniel ( Danny ) ambaye ni Daktari aliyeanza kwenda / kuhudhuria hapo Kanisani Kwake kama Mgonjwa na alipopona tu Mioyo yao ikapendana na wakaanzisha Mahusiano na hapo ndipo ile Nguvu ya Mtumishi Nabii Flora Peter ilipoanza Kupungua na hadi kuanza Kukimbiwa hasa na Mtumishi Mtiifu wake aitwae Raphael ( japo Watumishi wengine Watiifu akina Komba na Octavian ) walikuwa wakija na kuondoka kwani Kisirisiri nao walikuwa wamejiunga na Kanisa la Mzee Lupindo pale Kawe hivyo akabakia na Mtumishi wa Kike Mchumia Tumbo Mchagaa aitwae Pastor Julie ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi pale Ilala Msimbazi Center.Kanisa lake lilijifia siku nyingi tuu
hakuna nabii hapa shaytwanyi mkubwa hata kwa sura unamuona, yaani huyu umbwa ndio alikua anashika nyeti za wanawake wenzake akidai anawaombea Pumbaaaf akapambane na Mola wake sasa na amuelezee huo ujinga aliokua anafanya ni nani alimtuma.Shinzy kabisa.