TANZIA Tanzia nabii Flora Peter, amefariki dunia katika Hospitali ya Kitengule Jijini Dar es salaam

TANZIA Tanzia nabii Flora Peter, amefariki dunia katika Hospitali ya Kitengule Jijini Dar es salaam

Siku hizi kumbua shombe na mtumia mikorogo kwenye picha ni ngumu
 
Hapana, atakaa akisubiri hadi kiama hlf sisi wanawake wote tunagawiwa katika makundi ya sabini na wawili kwa akina makaveli10
Mungu fundi sana,
Anajua starehe ya mwanaume ni mwanamke mrembo, hivyo peponi wanaume tutapewa wanawake warembo.
Kisha wanawake ni wanapenda uzuri, kuhangaika kote, make up, sijui dawa za kuongeza nyonyo, kutoa kitambi, kuongeza tako na hips ni kuusaka urembo, sasa wanawake watakaoingia peponi ndio watapewa urembo usio na kifani, ndio hao mahurain.

Swali je binamu yangu utakubali kuwa hurain wangu wa peponi, tugegedane huko peponi? 😂
 
Wanafunzi wake wategemee kumuona siku ya tatu
 
Back
Top Bottom