Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Acha ufara meku[emoji23][emoji23][emoji848][emoji848] ya dish yakiingia puan naic kufa Bahar unatuliaje yaan ukisubr kifoKitu kikubwa kwenye maji ni kurelax....ukitulia kama maiti utaelea zaidi ya boya!!.
Sifahamu mkuu ila wamefanya kazi nyingi sana mpaka kuna zingine nimebahatika kuzisikia ni za muda mrefu hawakuzitoaHivi mkuu pancho ana undugu na shetta
Mabeste ni mkubwa sana nimekumbushwa ni M-RAP huyu ndo kamaliza pale tumainiMabeste
Unacheka? Nikikumbuka akili huwa ina stuck ,Mwenyezi Mungu atuepushie mmbaallii!Hahahahahaaa.. Pole Sana
Hapa hapa Dar kilomita chache toka ufukwe wa bahari kama unaenda Zanzibar kwa boat huwa unakipita kikiwa kushoto kwa boat.
Ukikaa Coco beach kinaonekana vizuri.
Coco Beach utaiona bongoyo, Mbudya ukitaka uifaidi fukwe za kunduchi ,au ukiwa unaenda tegeta unapanda kilima kile unaweza kukiona vzrShukran mkuu
Watu wa DAR mnafaidi sana na MABATA sie huku Pori kwa Pori.Coco Beach utaiona bongoyo, Mbudya ukitaka uifaidi fukwe za kunduchi ,au ukiwa unaenda tegeta unapanda kilima kile unaweza kukiona vzr
Pole Sana kwa kukumbushwa machungu.Duh
Haya maji maazuri hivi tunayaona. Nakumbuka enzi najifunza kuogelea katika swimming pool niko na kick board. Nimetoka kwenye kina kifupi vizuri ile niko kina kirefu ile kick board ilokua inanisaidia kuelea ikaniponyoka... na huo muda sijajua kuogelea Zaidi ya kupiga miguu tu
Jamani niliona kufa huku..... nikaanza kutapa tapa kwenye maji piga makelelle. Ma coach walikua fasta wakaingia katika maji waniokoe ila akashimswa maana nilikua namvuta na yeye anazama. Wananiambia tulia yaani mimi huo muda namuona Israeli huyo anachukua roho yangu. Naanzaje kutulia....Wakaniacha pale kwa dk nikanywa vikombe kadhaa nikalegea ndio wakanitoa.
Niliapa sirudi kwenye maji anadani asilani lakini ndio hivyo binadam tunasahu.
Pole sana.Duh
Haya maji maazuri hivi tunayaona. Nakumbuka enzi najifunza kuogelea katika swimming pool niko na kick board. Nimetoka kwenye kina kifupi vizuri ile niko kina kirefu ile kick board ilokua inanisaidia kuelea ikaniponyoka... na huo muda sijajua kuogelea Zaidi ya kupiga miguu tu
Jamani niliona kufa huku..... nikaanza kutapa tapa kwenye maji piga makelelle. Ma coach walikua fasta wakaingia katika maji waniokoe ila akashimswa maana nilikua namvuta na yeye anazama. Wananiambia tulia yaani mimi huo muda namuona Israeli huyo anachukua roho yangu. Naanzaje kutulia....Wakaniacha pale kwa dk nikanywa vikombe kadhaa nikalegea ndio wakanitoa.
Niliapa sirudi kwenye maji anadani asilani lakini ndio hivyo binadam tunasahu.
Kuokoa mtu huo ni ujizi mwingine tofauti na kujua kuogelea.Mwezi wa 8 tulimzika mkaka anaitwa Dixon na alikua mwalimu wa kuogelea.
Alienda kumuokoa demu wake akiwa anazama matokeo yake wakafa wote, niliiogopa Mbudya.
tulia wew[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hii thread inaongoza kwa michapio, sijui kiswahili kigumu?
Mkuu mkondo wa bahari ndo upoje huo?Unaweza kuiweka hapa..!!?
Ni hatari sana kuogelea kwenye mikondo ya bahari
Exactly..ndio maana mtt mchanga ukimweka kwenye maji hazami. Mimi nikiogelea baharini nikachoka natulia naanza tena, kuna watu hawawezi kufloat lazima awe kwenye movement so akichoka anazama. Lakini pia kama walikua wanakunywa hiyo ni hatari au muscle cramps nazo, ila aliyeshuhudia anasema kwamba jamaa alikua yupo anaelea kichwa kipo ndani ya maji, sasa sjaelewa imekuaje akafa maybe heart attack.Kitu kikubwa kwenye maji ni kurelax....ukitulia kama maiti utaelea zaidi ya boya!!.
Mmmh hatar sana Ulitoka uchi mkuu???Sio bahari tuu asee nakumbuka mwaka 2011 nilimsindikiza mshkaji mmoja raiya wa netherland mwanza kesho yake tukaenda fukwe za ziwa victoria nikiwa nishaonja pombe nkaenda kuogelea nilipigwa na wimbi likanipack kwenye kina kirefu nikahisi nko kuzimu nikapambana nkatoka cha kwanza nilichukua nguo nkaenda kuvalia counter,pombe yote iliisha