TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

R.I.P Pancho Alikua kijana Mdogo Dah [emoji22]Mimi Naogopa Maji Sana Zamani Niliwai kuogolea niliona kabisa Siwezi
 
Nimekuja mbio nikidhani uzi umesindikizwa na kapicha

Wengine tulikuwa hatumjui kwa sura aisee
Wewe unatokea mkoa gani. Hahaha
Kwanini unataka picha marehemu na humjui arifu.
 
mwaka 2014 mwezi 12 nilinusurika kufa maji msasani beach baada ya maji kurudi nilikuwa mbali kidogo na ukingo wa bahari.nilitumia maarifa na nguvu zangu zote kujiokoa nilikuwa nimevaa vest na boxer cha ajabu ile vest na boxer niliiziona nzito na sijui nilizivua vipi na kubaki uchi nilipiga miguu mpaka msuli wa mguu moja wa kushoto ukanishika niliishiwa nguvu nikiwa naelekea chini huku nimisha kubali kifo bahati nzuri ile nimegota chini nayasikia maji utosini nikaenda mbele kidogo ndipo yakanifikia machoni.
tokea mwaka 2014 sijawahi kurudi baharini tena wala kusogelea maji yoyote kwa ajili ya kuogelea-bahari sasa naiona kama kituo cha polisi.
Hiki kisa chako kinahuzunisha na kuchekesha kicheko cha huzuni yani nguo zinavulika kabla ya kuzivua. Mi nimezoea kuogelea kwenye swimming pool baharini na allergy napo
 
Hii thread inaongoza kwa michapio, sijui kiswahili kigumu?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Dah mkuu nimecheka sana baada kuona mchapio wa Mheshimiwa..


Rest in Power Pancho [emoji17][emoji120]
 
Pumzika kwa amani kaka! Taifa linapoteza vijana kwa kasi Sana
Mungu achilia rehema na neema since vijana ni chumvi ya ulimwengu
 
Hiki kisa chako kinahuzunisha na kuchekesha kicheko cha huzuni yani nguo zinavulika kabla ya kuzivua. Mi nimezoea kuogelea kwenye swimming pool baharini na allergy napo
Baharini ukiingia na saa/bangili hutoki nayo kama boxer/chupi iwe ya kubana sana ikipelea kidogo inashuka, habari haifai
 
Back
Top Bottom