Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuaje mkuuIkifika siku ya kufa hata kama mtu ni mtaalamu kiasi gani maandiko yatatimia tu. Hii inanikumbusha jamaa mmoja anaitwa Masiaga.
UWa namsikia chunusi nataman nipate info zake vizur,kam unajua nijuzeUnamjua chunusi mkuu basi ukipona kwa icho kiumbe nenda kafanye ibada
Ben pol alishawahi kunusurika hukohuko mbudya. Rip pancho.
Huu ujasiri utatoka wap kam huna elimu ya kufany ivo mkuu?Kitu kikubwa kwenye maji ni kurelax....ukitulia kama maiti utaelea zaidi ya boya!!.
Huku Mbudya kubaya sana kwa kweli.View attachment 892138
Pancho kwa uzoefu anao labda tuseme Siku yake ilifika tu.Ubaya wake nini? Mbona sisi huwa tunaogelea kila siku?
Pengine huyu ndio alikuwa anajifunza diving
Tafuta siku nenda kaogelee kichwa kichwa ndo utaelewa inshort mimi nimenusurika pale
Sijakataa , sasa kwani watu wote wanaoogelea ni professional wa Olympic au wote ni diver halafu panic ya ajali nahisi mnaiweka pembeni HV wewe uone unakufa will you relax .. We kuitwa kituo cha polisi tuu unajiharishia sembuse kuona kifo..kweli kabisa..kuogelea sio lazima miguu na mikono...kama ni mjuzi hata mikono tu inatosha....kuna mashindano ya Olimpiki ya walemavu... Jamaa wanaogelea kwa kasi na miguu hawana..wanatumia mikono tu.
Ntakupa ofa ya kwenda huko,unapandia pale open beach jirani na jangwani sea breeze yani viboti vimechoka utafikiria magari ya budege yale ya kubeba takaHakuna usafiri au?
Nasikia alikua Amelewa sana ndio maana hii ni kwa mujibu wa nahodha upepoPancho kwa uzoefu anao labda tuseme Siku yake ilifika tu.
Mbudya sitokuja kwenda, acha niwe mshamba.
Yawezekana maana waokoaji wanaonekana na Vyupa vya NganoNasikia alikua Amelewa sana ndio maana hii ni kwa mujibu wa nahodha upepo
Maana hasa watu maarufu wanapenda kwenda huko acha sisi tubaki coco beach [emoji907] yetu.ya ngoswe tumwachie ngoswe.
Yawezekana maana waokoaji wanaonekana na Vyupa vya Ngano
Hivi bahari si ina chumvi nyingi, hiyo chumvi haina madhara kwenye papuchi kweli?
I mean chombo kilizama wao wakawa wanaelea hadi walookolewa na wavuvi.Sasa kama walivaa maboya mbona wamezama au hayasaidii