TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

Nami nimeona hivyo ,halafu hawana msaada wamewaachia wavuvi
Vijana wengi wa Dar wanajua kuchezea mchanga na wimbi linalopiga hapo pwani, lakini suala la kuogelea wanaujasiri kwenye swimming pool tu. Hafu kosa walilofanya badala ya kumkamua maji yatoke kwa kumminya na kumkamua tumbo, na kumvuta hewa na maji yatoke mdomoni wanamshangaa tu na kuishia kumkimbiza
 
RIP.......kujua kuogelea ni muhimu sana....swimming ni life saving skill...ni kweli unaweza kujua kuogelea na still ukafa lakin kama unajua inapunguza risk........
Mkuu unayajua Maji ya bahari na mawimbi yake? Yani kuogelea swimming pool au kwenye mto si sawa na kwenye bahari,labda uwe professional diver
 
Nimeangalia clip video, first aid sio nzuri ,halafu wanachanganya maji ya swimming pool na bahari
 
Kinachowaua waogeleaji wazuri kwenye maji....ni njaa kama wamekwama mbali na makazi!!!...

Mawimbi makubwa yanayochosha mwili.....

Na kushikwa na misuli Yaani ndio baharia anakufa huku anajiona!!!....usiombe ushikwe na msuli ndani ya maji....unaweza kufa hata kwenye kina kifupi cha maji!!.,,,,

Na hili tatizo huwapata waogeleaji wanaokaa muda mrefu mbali na maji!!!...
 
Halafu hamna hata cha maana sema kunatamanisha Fulani kulewa na kujig jig. Wengi wanaoendaga Siku za kazi wanaendaga na mboga
Huko kujig jigi ndo kumemponza halafu ukiangalia inaonesha alilewa ila yote ya yote ahadi ikifika hakuna ujanja tutasema sijui alikunywa,sijui alifanya vile lkn ndo iliandikwa atakufa kwa staili hyo.
 
RIP.......kujua kuogelea ni muhimu sana....swimming ni life saving skill...ni kweli unaweza kujua kuogelea na still ukafa lakin kama unajua inapunguza risk........
Unachosema ni kweli lakini pia inatupasa tuchukue tahadhali tusilewe kabla ya kuogelea maana kuna mshikaji na yy alikufa maji sababu alikuwa amelewa then akaogelea..

Sina maana kwamba marehemu alikuwa amelewa. Msininukuu vibaya.

POLE KWA WAFIWA MUNGU AWAPE FARAJA KIPINDI HIKI CHA MAJONZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…