TANZIA TANZIA: Profesa Ward Mavura afariki dunia ndani ya ndege

TANZIA TANZIA: Profesa Ward Mavura afariki dunia ndani ya ndege

Hivi uprofesa mtu unasomea?je ukifika elimu gan ndo unakuwa profesa?naomba kujua
Kuwa akili basi wewe nenda kituo cha polisi kipo karibu na wewe kawaulize watakujibu
 
Kuwa akili basi wewe nenda kituo cha polisi kipo karibu na wewe kawaulize watakujibu
Akienda huko polisi na kuwauliza hivyo usanza lazima achezee vibaooo!
 
Hivi uprofesa mtu unasomea?je ukifika elimu gan ndo unakuwa profesa?naomba kujua
Kuwa profesa unasoma kwanza digrii ya kwanza(shahada ya kwanza aka bachelor), halafu digrii ya pili (shahada ya uzamili-aka masters), halafu inafuata digrii ya tatu (shahada ya uzamivu aka PhD, hapa ndo utaitwa Dr. yaani daktari wa falsafa) na mwisho inabidi uandike machapisho (papers) ambazo maprofesa na watafiti wengine watayakubali, ndipo Chuo unachofanyia kazi chaweza kukutunuku, uprofesa msaidizi(Associate/Assistant Professor) na uprofesa mwandamizi (Full Professor).

Kuna exceptions, mfano waweza kusoma shahada ya kwanza, halafu ukasoma shahada ya uzamivu. Pia neno professor hutumika tofauti kulingana na nchi. Nchi zingine lina maana mwalimu/mhadhiri-hasa wa chuo. So kila mhadhiri (lecturer) ataitwa profesa hata kama bado hajafikia ngazi hiyo kwa vigezo vya hapo juu.
 
dahhhh....aiseeeee am so sad and shocked!....ni mkemia mzur hajapata kuonekana na alikuwa anakubalika afrika yote..he was realy very good and humble, such a loss...we gonna miss u prof..cant believe u r gone, r.i.p
 
Kuna Mavura mwingine amefariki wiki kama tatu hivi zilizopita je ana undugu na huyu?
 
Alikuwa bado sana kiumri ukilinganisha na maprof. ninaowafahamu.

Tujifunze kupiga mazoezi, kula matunda na mbogamboga.

Pressure na kisukali vitatumaliza.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE-AMINA
 
Hivi uprofesa mtu unasomea?je ukifika elimu gan ndo unakuwa profesa?naomba kujua
Hata la saba tu mkuu unaweza kuwa professor, tena ukawa maarufu sana tu mf. prof. Maji marefu, Prof. manyaunyau
 
Profesa
Hivi uprofesa mtu unasomea?je ukifika elimu gan ndo unakuwa profesa?naomba kujua
Profesa ni mwalimu wa Chuo Kikuu,ukiweza kupata PhD hapo utaendelea na tafiti mbali mbali mpaka Dunia itakubali kwa kuishawishi kwa tafiti zako na hapo ndipo maprofesa wezio watakuthibitisha lakini bila hivyo ukiwa na PhD bado utakuwa mwanafunzi tu maana utaitaji Profesa akusimamie kwenye tafiti zako ili nawe uweze kuwa Profesa.
 
Profesa
Hivi uprofesa mtu unasomea?je ukifika elimu gan ndo unakuwa profesa?naomba kujua
Profesa ni mwalimu wa Chuo Kikuu,ukiweza kupata PhD hapo utaendelea na tafiti mbali mbali mpaka Dunia itakubali kwa kuishawishi kwa tafiti zako na hapo ndipo maprofesa wezio watakuthibitisha lakini bila hivyo ukiwa na PhD bado utakuwa mwanafunzi tu maana utaitaji Profesa akusimamie kwenye tafiti zako ili nawe uweze kuwa Profesa.
 
View attachment 367313 PROFESA MAVURA AFARIKI DUNIA NDANI YA NDEGE

Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta cha Arusha (JKUAT), Profesa Ward Mavura amefariki dunia leo wakati akiwa kwenye ndege aliyokuwa akisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha.

Chanzo kimoja kilicho karibu na familia hiyo kimesema kuwa Profesa Mavura alikuwa anatarajia kwenda India kwa ajili ya matibabu.
 
ukibobea katika fani fulani ndio unaitwa Profesa na baada ya wenye fani kupitia shughuli zako km uganga, wizi, ujambazi, ukicheche
  • Maji marefu Mbunge wa Korogwe
RIP Prof. Mavura
Unakuwa prof. baada ya kusoma degree ya kwanza- shahada, ya pili- uzamili, tatu- uzamifu na then ukaandika Makala kadhaa yatakayojadiliwa na kuonekana yameleta mchango ktk jamii
 
Back
Top Bottom