Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣🤣 shindikana wananionea sana. Huu mwana sicheki na wowote!Shindikanaa wakuumize tu aseee😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 shindikana wananionea sana. Huu mwana sicheki na wowote!Shindikanaa wakuumize tu aseee😁😁😁
Shindikanaa wakikuonea usisite kuniambia 😊😊🤣🤣🤣🤣🤣 shindikana wananionea sana. Huu mwana sicheki na wowote!
Shindikana nina mashaka kama unawamudu!Shindikanaa wakikuonea usisite kuniambia 😊😊
Shindikanaa wataje hao digi digi nianze kuwapurua hapa😅😅😅Shindikana nina mashaka kama unawamudu!
Hata hufananii🤣🤣Shindikanaa wataje hao digi digi nianze kuwapurua hapa😅😅😅
😀😃😃Binafsi ni ngumu sana kumuamini rafiki tuliepotezana muda mrefu.
Mambo no mengi, watu hubadilika.
Kuna jamaa nilisoma nae, skuli alikua ni kada wa chadema dam dam, humwambii kitu kuhusu chadema. Yeye na familia yake wote ni wazee wa "Mbowe mitano tena" juzi kati nakutana nae ni mjumbe wa UVCCM na ana cheo kizuri tu ule mkoa aliopo.
Mzee wa mipango 😀😃Shindikanaa wataje hao digi digi nianze kuwapurua hapa😅😅😅
Sio njiro hapo 😂 😄Wataje tu mama la mama nakabia kwa juu dhidi yakoView attachment 3195151
Nakabia kwa juu , wewe wataje hao digidigi tu.Hata hufananii🤣🤣
Toa mzazi hapo#ndugu., rafiki, mzazi, mpenzi, hawa wote huwa hawakopeshwi ukimkopesha umeisha
Sio njiro hapo 😂 😄
como estasMkuu futa hii nimekosea 😜😜😜
🤣🤣🤣🤣🤣 basi sawa, nitakutajia.Nakabia kwa juu , wewe wataje hao digidigi tu.View attachment 3195152
#ukikua utajua nn namaanisha_(mzazi hakopeshwi)Toa mzazi hapo
Mkuu nipo na 30 kiongozi au bado hapo sijakua na Sina mzazi ata mmoja unajua Nini natamani na wengine wakiwa wanacho#ukikua utajua nn namaanisha_(mzazi hakopeshwi)