Tapeliwa na wote lakini sio kutapeliwa na mtu unayemuita rafiki inauma sana

Tapeliwa na wote lakini sio kutapeliwa na mtu unayemuita rafiki inauma sana

Washkaji wamesha nikwamisha sanaa wengine wamesha ni save Sanaa Mpaka najiona mzigo kwao

Lazima kuwe na kushoto na kulia, usiku na mchana, mbele na nyuma, nzuri au mbaya

Rafiki mseng* mseng* utamjua tu kwenye story za hapa na pale
Mkuu umeongea vyema saana aisee [emoji109]
 
Asante mkuu 🙏
Huu ujumbe nimeusoma na kuuelewa sana Mzee pole hizi ni situation tu mkuu unakuta ata MWENYEZI MUNGU akupitishe tu uone je Hao ulionao ni sahihi, Hao marafiki tunasema ni masnich, matapeli, na ni wauwaji asee pengine ata ni majabawazi
san
 
Mkuu nipo na 30 kiongozi au bado hapo sijakua na Sina mzazi ata mmoja unajua Nini natamani na wengine wakiwa wanacho
#maana yakukua sio wingi wamiaka ulionayo_ok sawa kwaio ww unaweza mkopesha mzazi wako ..? maana mm nimesema mzazi hakopeshwi ukapinga kwaio ww unaweza fanya hivyo..?

1) - hio iko pande mbili kwanza mzazi ukimkopesha kukurudishia pesa yako ningumu . huwa ukiaanza kudai chako wao wanaanza kuhesabu mambo waliokufanyia mwisho unajikuta unasamehe deni kishingo upande japo mwanzo alikufata kwalengo lakukopa

2)_ww kama mtoto mzazi wako anashida yapesa uwezo unao kwann umkopeshe ..? nazan ushaelewa kwann tunasema kwaujumla mzazi hakopeshwi
 
#maana yakukua sio wingi wamiaka ulionayo_ok sawa kwaio ww unaweza mkopesha mzazi wako ..? maana mm nimesema mzazi hakopeshwi ukapinga kwaio ww unaweza fanya hivyo..?

1) - hio iko pande mbili kwanza mzazi ukimkopesha kukurudishia pesa yako ningumu . huwa ukiaanza kudai chako wao wanaanza kuhesabu mambo waliokufanyia mwisho unajikuta unasamehe deni kishingo upande japo mwanzo alikufata kwalengo lakukopa

2)_ww kama mtoto mzazi wako anashida yapesa uwezo unao kwann umkopeshe ..? nazan ushaelewa kwann tunasema kwaujumla mzazi hakopeshwi
Mimi na mzazi wangu (mama) tunakopeshana sana pesa nikikwama namkopa,akikwama ananikopa. Tofautisha pesa ya kumpa na pesa ambayo ipo kwenye mzunguko wako wa biashara na yeye anajua hilo ukimkopesha anarudisha vizuri tu maana na yeye hapendi kukukwamisha mipango yako.

N.B. Huwa nampa pesa kama mzazi wangu mambo yakiwa sawa hata bila kuniomba
 
Back
Top Bottom