π€£π€£π€£π€£π€£ shindikana wananionea sana. Huu mwana sicheki na wowote!Shindikanaa wakuumize tu aseeeπππ
Shindikanaa wakikuonea usisite kuniambia πππ€£π€£π€£π€£π€£ shindikana wananionea sana. Huu mwana sicheki na wowote!
Shindikana nina mashaka kama unawamudu!Shindikanaa wakikuonea usisite kuniambia ππ
Shindikanaa wataje hao digi digi nianze kuwapurua hapaπ π πShindikana nina mashaka kama unawamudu!
Hata hufananiiπ€£π€£Shindikanaa wataje hao digi digi nianze kuwapurua hapaπ π π
πππBinafsi ni ngumu sana kumuamini rafiki tuliepotezana muda mrefu.
Mambo no mengi, watu hubadilika.
Kuna jamaa nilisoma nae, skuli alikua ni kada wa chadema dam dam, humwambii kitu kuhusu chadema. Yeye na familia yake wote ni wazee wa "Mbowe mitano tena" juzi kati nakutana nae ni mjumbe wa UVCCM na ana cheo kizuri tu ule mkoa aliopo.
Mzee wa mipango ππShindikanaa wataje hao digi digi nianze kuwapurua hapaπ π π
Sio njiro hapo π πWataje tu mama la mama nakabia kwa juu dhidi yakoView attachment 3195151
Nakabia kwa juu , wewe wataje hao digidigi tu.Hata hufananiiπ€£π€£
Toa mzazi hapo#ndugu., rafiki, mzazi, mpenzi, hawa wote huwa hawakopeshwi ukimkopesha umeisha
Sio njiro hapo π π
como estasMkuu futa hii nimekosea πππ
π€£π€£π€£π€£π€£ basi sawa, nitakutajia.Nakabia kwa juu , wewe wataje hao digidigi tu.View attachment 3195152
#ukikua utajua nn namaanisha_(mzazi hakopeshwi)Toa mzazi hapo
Mkuu nipo na 30 kiongozi au bado hapo sijakua na Sina mzazi ata mmoja unajua Nini natamani na wengine wakiwa wanacho#ukikua utajua nn namaanisha_(mzazi hakopeshwi)