Taratibu woga umeanza kuwaondoka wananchi

Huu nao ni ujinga wa Watz! Hivi unawezaje kumtetea dereva mpuuzi anayekiuka taratibu na Sheria za barabarani??. Wameshindwa kuandamana tupate katiba mpya au KUPUNGUZA gharama za maisha? Afu wanakuja kuandamana au kuzuia askari kutimiza wajibu wake?. Upuuzi
 
Mambo yanabadilika mkuu;

Nimeshtushwa sana na guts za hao abiria kumzunguka afisa wa polisi na kumtetea dereva.

Hilo sio jambo dogo hata kidogo.

Ni ishara ambayo haitakiwi kupuuzwa.
Mkuu Gari umepaki wapi? Angalia usije Pata degedege bongo mistuko mingi mno
 
Jambo hili halihusiani na ukali wa maisha
 
Piga virungu tu hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…